Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Du! Umewachana sana mkuu. Japo ujumbe imefika lkn inabidi pia uombe radhi kwa wadada.
 
mxiuuuu!shika adabu yako wanawake wa JF hatuna vitambi usitufananishe na uswazi kwenye mishkaki ya sh 100 eboo.

hahaha! Umenifurahsha utadhani umetuona wooootee!!
 
watu hawaelimishani kwa namna hii.
 
nauza kataweight na nguo nyingine za.mazoez naomba wadada wenye matumbo mkaribie ili msimkasirishe holygrail! mkanda sio suluhu..suluhu ni mazoez tuu
 
nauza kataweight na nguo nyingine za.mazoez naomba wadada wenye matumbo mkaribie ili msimkasirishe holygrail! mkanda sio suluhu..suluhu ni mazoez tuu

yaani wewe ndo umetoa point kuliko wote!!..maana manamake ya humu jf yenye vitambi mabishi kama nini!..haya nendeni mkapunguze matambi yenu kwa jamaa!!..
 
Vitambi vyetu vinakuhusu nini????? Kama vinakukera si ujiue usivione hovyooo
 
Yaani madada ya siku hizi sijui yakoje!...yanakeraaaa!!..hadi kichechefu!!..

Unakuta dada mzuri ajabu!..shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh!!...kuja mbele sasa..chevuuuu!!!..mtumbo huo!...uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho!!..mnakula sana kuliko hata midume!..machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani!..kwani mki maintain shape kuna ubaya gani!..

We huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha!!...sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo!!...au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

Mkuu assume kwamba ndio uko infront of 100,000 JF great thinkers halafu una present hoja kama hii kwa maneno kama hayo uliyotumia!

hivi ungefikisha kweli dakika jukwaani bila kupigwa chupa?

you dont have good presentation skills. you need some researches before you erupt ..

naona uswahilini uliko hamia kumekuharibu maximumly!
 
Obesity & related health problems ina-stress health insurance ambayo watz sote tunashea.

Ni lazima kuwa na health insurance?

Wa TZ wangapi wana health insurance?

Kwa nini mtu alazimishwe kufanya afya yake priority kama ni mtu mzima, mwenye akili timamu na hataki kufanya hivyo?
 
Invisible JF inahitaji mabadiliko mkuu, kuwepo na eneo la JINSI/JINSIA maana huu udhalilishaji humu ndani umezidi asee. Imagine mzee mzima kama Majigo anaitwa mbebez

yaani kanichosha sana huyu kijana..!
 
Back
Top Bottom