Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.
Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,
We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail
Kama huwezi kuwatofautisha shepu zao basi ni wazi wanaume wa sikuhizi wana mahips na mawowowo kama kina dada
Washauri na kina kaka pia wajipunguze mana sio vizuri wawe na shepu hizo ulizozisema
Wanawake wengine wana shepu za kiume unakuta mdada hana hips,flat screen ila kitambi kama ana kiribatumbo
Sijasoma content lakini heading tu inatosha kukupa pole, kama una mwanamke na siku moja unategemea aje kukupa watoto, the is 90% chance tumbo lake litabadilika na kuwa kubwa!
Sorry we ni mwanamke au mwanaume? Kwasababu ulichokiongea hakina ukweli wowote ule!
Ni observations tu, asilimia kubwa ya wanawake waliozaa huwa na matumbo makubwa kuliko walivyokuwa kabla. Hata mimi sipendi mwanamke wangu awe na tumbo lakini ukweli ni kwamba kuna situations ambazo inabidi tu uwe mpole
Mi nimezaa na nina tumbo flat kabisa, sasa ukiniambia kuwa na tumbo kubwa ni sababu ya kuzaa nitakataa kabisa.
Ni observations tu, asilimia kubwa ya wanawake waliozaa huwa na matumbo makubwa kuliko walivyokuwa kabla. Hata mimi sipendi mwanamke wangu awe na tumbo lakini ukweli ni kwamba kuna situations ambazo inabidi tu uwe mpole
Kweli kabsaMchawi ni uzembe tu bro...... Wanawake wetu wa kibongo wanajibweteka na kula sana tu..... Hata kama akizaa akifanya mazoezi hawezi kuwa na mtumbo....... Hifi umewaona wamama black americans.....?????? Mama akitembea na mwanae wakiume kama yupo na mumewe.... Yupo Flat wala hana manyama ya kumzeesha upesi tena wengiwao ninaozungumzia ni masikini wenzetu tu.......