Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Yanakukera kwani unayabeba wewe? Basi uwe unafumba macho
 
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

Kama huwezi kuwatofautisha shepu zao basi ni wazi wanaume wa sikuhizi wana mahips na mawowowo kama kina dada

Washauri na kina kaka pia wajipunguze mana sio vizuri wawe na shepu hizo ulizozisema
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kama huwezi kuwatofautisha shepu zao basi ni wazi wanaume wa sikuhizi wana mahips na mawowowo kama kina dada

Washauri na kina kaka pia wajipunguze mana sio vizuri wawe na shepu hizo ulizozisema

Wanawake wengine wana shepu za kiume unakuta mdada hana hips,flat screen ila kitambi kama ana kiribatumbo
 
Wanawake wengine wana shepu za kiume unakuta mdada hana hips,flat screen ila kitambi kama ana kiribatumbo

Hahahahahaha you can't be serious lol
Nimecheka sana
 
Yaweza kuwa mkombozi wako kama una moyo wa dhati kufanikiwa
Click hii link hapa chini
Job4Living.com Earn 5$-10$ per 30 seconds tasks, Earn 1000$ monthly - Online Job for jobless people
 
Sijasoma content lakini heading tu inatosha kukupa pole, kama una mwanamke na siku moja unategemea aje kukupa watoto, the is 90% chance tumbo lake litabadilika na kuwa kubwa!

Sorry we ni mwanamke au mwanaume? Kwasababu ulichokiongea hakina ukweli wowote ule!
 
Jamani mazoezi, tule mboga mboga na matunda, punguzeni mafuta, pombe na soda, vyakula viwe vya kiasili, hii itasaidia kuepuka hayo pamoja na magonjwa ya siku hizi
 
Sorry we ni mwanamke au mwanaume? Kwasababu ulichokiongea hakina ukweli wowote ule!

Ni observations tu, asilimia kubwa ya wanawake waliozaa huwa na matumbo makubwa kuliko walivyokuwa kabla. Hata mimi sipendi mwanamke wangu awe na tumbo lakini ukweli ni kwamba kuna situations ambazo inabidi tu uwe mpole
 
Ni observations tu, asilimia kubwa ya wanawake waliozaa huwa na matumbo makubwa kuliko walivyokuwa kabla. Hata mimi sipendi mwanamke wangu awe na tumbo lakini ukweli ni kwamba kuna situations ambazo inabidi tu uwe mpole

Mi nimezaa na nina tumbo flat kabisa, sasa ukiniambia kuwa na tumbo kubwa ni sababu ya kuzaa nitakataa kabisa.
 
Ni observations tu, asilimia kubwa ya wanawake waliozaa huwa na matumbo makubwa kuliko walivyokuwa kabla. Hata mimi sipendi mwanamke wangu awe na tumbo lakini ukweli ni kwamba kuna situations ambazo inabidi tu uwe mpole

Mchawi ni uzembe tu bro...... Wanawake wetu wa kibongo wanajibweteka na kula sana tu..... Hata kama akizaa akifanya mazoezi hawezi kuwa na mtumbo....... Hifi umewaona wamama black americans.....?????? Mama akitembea na mwanae wakiume kama yupo na mumewe.... Yupo Flat wala hana manyama ya kumzeesha upesi tena wengiwao ninaozungumzia ni masikini wenzetu tu.......
 
Jamani mazoezi, tule mboga mboga na matunda, punguzeni mafuta, pombe na soda, vyakula viwe vya kiasili, hii itasaidia kuepuka hayo pamoja na magonjwa ya siku hizi
Waambie hao. Maana me nilisemaga kitambo nikaambulio ban ya mwaka
 
Mchawi ni uzembe tu bro...... Wanawake wetu wa kibongo wanajibweteka na kula sana tu..... Hata kama akizaa akifanya mazoezi hawezi kuwa na mtumbo....... Hifi umewaona wamama black americans.....?????? Mama akitembea na mwanae wakiume kama yupo na mumewe.... Yupo Flat wala hana manyama ya kumzeesha upesi tena wengiwao ninaozungumzia ni masikini wenzetu tu.......
Kweli kabsa
 
Wengine inakuaga ni ugonjwa mfano fibroids c kupenda kwao labda ungewaadvice healthy eating na kuavoid vyakula venye calories mob
 
maumbile sawa,ILA ULAJI WETU NAO MMMH!
una haki mwaya!
 
Back
Top Bottom