Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanaume bwana!!!
Kila kibaya cha mwanamke. Hivi kitambi kimewahi kua kizuri hata kwa Mwanaume?

Nani alisema mwanaume mtanashati ni mwenye kitambi, hapo naungana na wewe. Ila kwa mwanamke wa kiafrika shurti awe na sehemu ya kushika sio mwanamke unakuwa na shepu kama sigara kali filter hujui iko wapi kokote unavutia tu.
 
Hee wadada nao siku hz wakiwa na kitambi ndo unaonekana maisha mazur myumban ila katumbo kadogo njaa utokako dat y wanayaachia tuu
 
Hee wadada nao siku hz wakiwa na kitambi ndo unaonekana maisha mazur myumban ila katumbo kadogo njaa utokako dat y wanayaachia tuu

one of my best thread ever!
 
Kwani unalazimishwa kuwatizama si ufumbe macho.tumbo lake likukere wewe jamani.
 
Wakiambiwa wanakuwa wakali sana. Ila muwe mwajiangalia kwenye kioo, mwaonekana wa ajabu wakikususpend juu chini mtu atashindwa elewa nyuma ni wapi mbele wapi maana kiunoni mbele na nyuma pamevimba tena wengine mbele pamevimba zaidi

Umemaliza kila kitu.
 
dah...umemaliza mkuu...kweli vitambi vya mademu no kerooooooo!!!
 
Sijasoma content lakini heading tu inatosha kukupa pole, kama una mwanamke na siku moja unategemea aje kukupa watoto, the is 90% chance tumbo lake litabadilika na kuwa kubwa!
 
Back
Top Bottom