Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Team "Enyimba" , Mizigo, Mipododo, Minofu tupoooz....waacheni wadada wenye vitambi
 
hapo kwa [MENTION=212295] lara 1
ni hatareeee huyu mtt nilipokutana kwenye kumbukumbu ya the late regia mtema pale peacock hotel nilimsisikaaa.

Msiwe mnatajataja jina hilo mimi moyo kudunda. Huyo mtoto anapwelepweta moyo wangu. Hizi ndiyo aina za wife material.
 
Last edited by a moderator:
Kupunguza tumbo its mission no one will understand.
 
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

Si ni bora awe na litumbo lakini na nyuma awe na mzigo wa haja kuliko awe flat screen?
 
Wanaume bwana!!!
Kila kibaya cha mwanamke. Hivi kitambi kimewahi kua kizuri hata kwa Mwanaume?
 
wanasemaga ukubwa wa pua..... na wembamba wa reli......
usipime kwa macho kijana
 
Back
Top Bottom