Health and Life Tz
Senior Member
- Mar 10, 2015
- 114
- 44
Na wakati huo huo inakuweka kwenye sehemu ya kutuchanganya sisi wagonjwa wa mahaga.
Hahaha hahahaha.... Mahaga ni nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakati huo huo inakuweka kwenye sehemu ya kutuchanganya sisi wagonjwa wa mahaga.
hahaha hahahaha.... Mahaga ni nn?
Hahaha hahahaha.... Mahaga ni nn?
wowowo
hapo kwa [MENTION=212295] lara 1
ni hatareeee huyu mtt nilipokutana kwenye kumbukumbu ya the late regia mtema pale peacock hotel nilimsisikaaa.
Sufuria la nyama
wowowo
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.
Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,
We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
dr.holygrail
Madada ya siku hizi mbona umeongea kwa kejeli au ulihisi hautoeleweka
ahsante!.....katisha sana kama yuko hivi!
au wanaume mnasemaje!
Du! Umewachana sana mkuu. Japo ujumbe imefika lkn inabidi pia uombe radhi kwa wadada.
yaani wewe ndo umetoa point kuliko wote!!..maana manamake ya humu jf yenye vitambi mabishi kama nini!..haya nendeni mkapunguze matambi yenu kwa jamaa!!..
Acha ubinafsi
Mbona nyie mna matumbo makubwa kama matenki lakini tunavumilia? Unadhani hatupendi 6 packs???