Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Msameheni
mi sina bifu nae wala nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msameheni
Asante.... Kumbe ni ugonjwa wako eeeh
mi sina bifu nae wala nini
Kwelii kabisa,mavitambi yao yanawafanya wavivuu, huyu wangu nikipiga taco mbili tatu ameshachoka ni kushuta tuuu
Wanaume bwana!!!
Kila kibaya cha mwanamke. Hivi kitambi kimewahi kua kizuri hata kwa Mwanaume?
Mmmhh... Ngoja Shark akusikieyeah....VP unalo?
ila wewe matizi kwa sana huna kitambi....ila una watetea wenzio safi sana hoe
Ha ha ha angekuona walai asingeuliza kwa figure eight uliyonayo ila pozi umezidisha mamaa usinifanyie hivyo
Hahahahaaa hahahahaaa... Pozi muhimu kwa mtoto wa kike..
Haya basi nmekubali Fanya basi nlivyokuambia plz plz
Hahahahaaa mwambie anitafute nimwelekeze jinsi ya kukiua kitambi
Poa. Ni pm namba zako bas nimpe akupigie
Mwambie anitafute insta healthandlifetz au aniandikie health@healthandlifetz.com
Shukran sana. Nlikuwa nawaza sana wife nikipiga taco mbili chalii ndoa itadumu vipi.