Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Hebu iseme hiyo namna maana jamaa ameamua kuponda tu wengine ilimradi anafikisha ujmbe kwa muhusika wakeunatafuta namna nzuri ya kumwambia bila kumuumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu iseme hiyo namna maana jamaa ameamua kuponda tu wengine ilimradi anafikisha ujmbe kwa muhusika wakeunatafuta namna nzuri ya kumwambia bila kumuumiza
ha!ha!haa poor him lol!and he is among them realy
Kwa hiyo mtoa maada hajakosea uongo kwa kuponda wengine ili hali na wakwake yumo kwenye kundi hilo hiloMpenzi wangu atatumia njia ambayo haitaniudhi,
Lakini sio kama alivyoeleza mtoa uzi.
Sidhani kama wewe unapotaka kumwambia mpenzi wako jambo ambalo ni la kumrekebisha utamwambia kwa staili ya kumkera na kumkwaza,
Zipo njia polite za kumwelimisha mtu.
huna jipya
unachukia sana ukweli na unapenda mambo mepesi kama ubongo wako
mfsssssss
kweli itakuweka huru
natamani nikupasue hilo bichwa niweke akili nzuri
huwezi kuwa binadamu unaependa mambo laini laini tuu
Hahahahahaa una mplease apunguze tumbo
apunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb
haaa haaa haaa kwi kwi kwi mkwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye povu limekutoka ww.........ndio nilichokuwa nataka, na nimefanikiwa kwi kwi kwi kwi kwiiiiii
nilijua tu maana we ishu zinazokugusa hukawiagi kutoa povu
kwahiyo umefurahi Mimi kutokwa povu ?
imekusaidia nini?
Shemeji... Au ukweli unauma...??? Maana ulivyoumia, utadhani vitambi vya mujini vyootee umekabidhiwa wewe...yani kantibua ka nini mxiuuuu! haya vip familia huko wifi angu.
Mapenzi yakikolea hayomengine hamna mara tumbo kibamia hayo yanatokeza mapenzi yakiishaapunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb
ndio maana nikasema hujakaa kiume..........unapenda kudandia treni kwa mbele kama mwanamke wa kizaramo..haaaa.....majanga haya..
halafu?
Nipe jicho hilo nilifumue fumu fumu ndo utauona ulume Wangu
mnfsssssss