Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Mpenzi wangu atatumia njia ambayo haitaniudhi,

Lakini sio kama alivyoeleza mtoa uzi.

Sidhani kama wewe unapotaka kumwambia mpenzi wako jambo ambalo ni la kumrekebisha utamwambia kwa staili ya kumkera na kumkwaza,

Zipo njia polite za kumwelimisha mtu.
Kwa hiyo mtoa maada hajakosea uongo kwa kuponda wengine ili hali na wakwake yumo kwenye kundi hilo hilo
 
haaa haaa haaa kwi kwi kwi mkwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye povu limekutoka ww.........ndio nilichokuwa nataka, na nimefanikiwa kwi kwi kwi kwi kwiiiiii
huna jipya

unachukia sana ukweli na unapenda mambo mepesi kama ubongo wako

mfsssssss
 
kuanzia maza mpaka sisteri zangu wote hawana hiyo mitambi!...ni ma supa viwangozz u know!!...hakuna Le vitambiz u knw!


akili.jpg
 
apunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb


nilijua tu maana we ishu zinazokugusa hukawiagi kutoa povu
 
haaa haaa haaa kwi kwi kwi mkwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hatimaye povu limekutoka ww.........ndio nilichokuwa nataka, na nimefanikiwa kwi kwi kwi kwi kwiiiiii


kwahiyo umefurahi Mimi kutokwa povu ?

imekusaidia nini?
 
nilijua tu maana we ishu zinazokugusa hukawiagi kutoa povu

ndio maana nikasema hujakaa kiume..........unapenda kudandia treni kwa mbele kama mwanamke wa kizaramo..haaaa.....majanga haya..
 
apunguze tumbo la nini mie nalipenda hivo hivo.....mi haya macomplication yenu ya sijui english figa akuuu. umb
Mapenzi yakikolea hayomengine hamna mara tumbo kibamia hayo yanatokeza mapenzi yakiisha
 
ndio maana nikasema hujakaa kiume..........unapenda kudandia treni kwa mbele kama mwanamke wa kizaramo..haaaa.....majanga haya..



Nipe jicho hilo nilifumue fumu fumu ndo utauona ulume Wangu

mnfsssssss
 
Back
Top Bottom