Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu #lusungo mie mara dada yako mara shemeji yako mi shemeji yako kwa nani?
Niite dada inatosha
nikuote we mbegu ya mmea gani? hebu nipishage mie.
kuanzia maza mpaka sisteri zangu wote hawana hiyo mitambi!...ni ma supa viwangozz u know!!...hakuna Le vitambiz u knw!
DEMBA nilikua nakutania mpenzi nisamehe bure tuache malumbano
mie Shem wako kwa Evelyn Salt na shemu Dinazarde hapendi migogoro nipo chini ya usuli wako nisamehe kwa jina la yesu
Shemeji ako ni Excel mtumishi aliniletea pozi sijui alikuwa anaogopa jehanam
we mama wewe! mi nna mke na watoto, wajomba, mashangazi, ndugu na jamaa wananitegemea ujue! ohoo!
ukitaka kuwa mke wa pili, useme!
umeamkaje lakini mamii?
lusungo hebu tamka wazi mbele ya uma especially Evelyn Salt!He huna habari status ime change?
najisahau mwenzio ndo mana nakwita Dada ila eve wangu ndo mana nakwita shemeji yangu kwa Evelyn Salt na Excel analijua hili
Dina nimekumiss ujue!Mnanichanganya ujue bora Evelyn urud kwa mtumishi Excel hakutaki
Dinazarde ni mke wa nani?Nashukuru kama u buheri wa Afya
nami ndo natoka kazini nimekuja maana umeniita...
DEMBA na Ngalikihinja mnaitwa huku na shemeji Dinazarde haraka sijui ana nini asubuhi hii mkija niamshieni Evelyn Salt aje na kakake Excel
Mnanichanganya ujue bora Evelyn urud kwa mtumishi Excel hakutaki
white girl kaolewa na nani besti?Nimo humu humu sema korido nyingi sana milango ndio usiseme
Halaf tabia ya kumuulizia white girl ukome mwenzio ashaolewa analea watoto
Vumilia ndoa yako bado changaa
Ooo we si una mke wauliza ili iweje unataka unikague halafu ngoja nimuite Tyta akuwekee picha
Tukiwa pm ana mahaba niue, ooh eve siwezi kuishi bila wewe mbele za watu ananikana mmmhmmmh