Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

naona sasa unaanza kuvutia hisia zako kwa nyuma!!

aisee sina hiyo tabia tafadhali!

labda niku-direct kwa bobby! my dog is good at that!

povuuu!!...mbona mapema sana!
 
:shock::shock::shock::shock:....MTOA MADA MWENYEWE MMMH...........

images
 
Nikuombee uache wakati mi mwenyewe siwezi kuyaacha!!!
hata huyu mchungaji ni teja tu kwani hujawahi kumuona akipita pita kwenye hicho kichochoro?
Tena teja la kutupwa, mchungaji gani kucha kutwa yumo jukwaaa la wakubwa biblia anasoma saa ngapi.
 
Vijana hawa wa siku hizi hawana maadili!

Kama ww kitambi kinakuzingua nenda kwa wenye flat tummy mchukue na waachie wanaopenda wenye vitambi bana nao waburudike kivyao!

Hatuwezi kuwa sawa kwenye choices,mm napenda vitambi!
 
Ha ha ha hata jukwaa la dini hana access
Ataingiaje huko wakati hobi yake ni jukwaa la wakubwa, ukimuuliza vesi za biblia sidhani kama anazikumbuka, muulize anamfahamu funda dume, sumba-wanga, evelyn salt, asakuta same, kibanga ampiga mkoloni, girafani11, madame B, shansarie, ngalikihinja nk atapata 100%.
 
Ataingiaje huko wakati hobi yake ni jukwaa la wakubwa, ukimuuliza vesi za biblia sidhani kama anazikumbuka, muulize anamfahamu funda dume, sumba-wanga, evelyn salt, asakuta same, kibanga ampiga mkoloni, girafani11, madame B, shansarien ngalikihinja nk atapata 100%.


ha ha ha ha

ila jamani sumbawanga sijawai muona zaidi ya kule khaa
 
Wazee huyu dada hajakosea. Kitambi nikero sana, hapa nimejaribu kukitoa naona kinarespond taratibu sana. lazima tupambane na vitambi mlegezo.
 
Khee... Huyu huyu tunayemjuwa au mwingine...??? Evelyn Salt, Heaven on Earth, Madame B, Grafani11, Sansharie, Mamndenyi, njooni mshuhudie huku baba mchungaji anaomba jicho....
Kwanza nawapongeza Mods na Invisible kwa kumuondoa kule jukwaani kwetu, huyu jamaa ni msumbufu kama wasumbufu wengine tu, kama ni mchungaji basi atakuwa ni mchungaji wa mifugo pori hata ya nyumbani hana sifa.
 
Back
Top Bottom