Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
naona sasa unaanza kuvutia hisia zako kwa nyuma!!
aisee sina hiyo tabia tafadhali!
labda niku-direct kwa bobby! my dog is good at that!
What is wrong with him?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona sasa unaanza kuvutia hisia zako kwa nyuma!!
aisee sina hiyo tabia tafadhali!
labda niku-direct kwa bobby! my dog is good at that!
acha ubinafsi
mbona nyie mna matumbo makubwa kama matenki lakini tunavumilia? Unadhani hatupendi 6 packs???
Hivi wewe, kati ya ngalikihinja na sijui Dinamazabe sijui Dinazarde lipi gumu...??? Kama umejiuma juwa unanitaka tu wala huna lolote... Na utanipata.Salama salimin namshukuru Allah hebu niitie #Demba hapa na wewe uje pia na #ngalikihinja sijui nimelipatia jina gumu mpaka nimejiuma aaaaaarggggghhhhh
Yani nimembulia kuona jina tu hapo, haya ndo mmeniteta nini???!!!
Uo mguu au nini maana haueleweki ati
Akiniombea Evelyn salt hapo sawa lakini wewe huna upako.utayaacha tu
Tena teja la kutupwa, mchungaji gani kucha kutwa yumo jukwaaa la wakubwa biblia anasoma saa ngapi.Nikuombee uache wakati mi mwenyewe siwezi kuyaacha!!!
hata huyu mchungaji ni teja tu kwani hujawahi kumuona akipita pita kwenye hicho kichochoro?
Tena teja la kutupwa, mchungaji gani kucha kutwa yumo jukwaaa la wakubwa biblia anasoma saa ngapi.
Akiniombea Evelyn salt hapo sawa lakini wewe huna upako.
Ataingiaje huko wakati hobi yake ni jukwaa la wakubwa, ukimuuliza vesi za biblia sidhani kama anazikumbuka, muulize anamfahamu funda dume, sumba-wanga, evelyn salt, asakuta same, kibanga ampiga mkoloni, girafani11, madame B, shansarie, ngalikihinja nk atapata 100%.Ha ha ha hata jukwaa la dini hana access
Ataingiaje huko wakati hobi yake ni jukwaa la wakubwa, ukimuuliza vesi za biblia sidhani kama anazikumbuka, muulize anamfahamu funda dume, sumba-wanga, evelyn salt, asakuta same, kibanga ampiga mkoloni, girafani11, madame B, shansarien ngalikihinja nk atapata 100%.
Hivi wewe, kati ya ngalikihinja na sijui Dinamazabe sijui Dinazarde lipi gumu...??? Kama umejiuma juwa unanitaka tu wala huna lolote... Na utanipata.
Kwanza nawapongeza Mods na Invisible kwa kumuondoa kule jukwaani kwetu, huyu jamaa ni msumbufu kama wasumbufu wengine tu, kama ni mchungaji basi atakuwa ni mchungaji wa mifugo pori hata ya nyumbani hana sifa.Khee... Huyu huyu tunayemjuwa au mwingine...??? Evelyn Salt, Heaven on Earth, Madame B, Grafani11, Sansharie, Mamndenyi, njooni mshuhudie huku baba mchungaji anaomba jicho....