Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

naomba update. What happened to this guy pretending to be a preacher?
Mkuu Karucee ingia kwenye "jukwaa la wazee" tafuta post, "Wanyonya kabaang mikono juuuu..."

Huyu mwenzetu aliingia kule kwa gia ya kutoa maandiko matakatifu akitishia watu kiama. Lakini baada ya wadau kumbana kwa maswali, iweje mchungaji unaingia jujkwaa hilo wakati hutaki maudhui yake, taratibu akaanza kubadilika na kufuata upepo wa jukwaa linavyotaka.

Mwisho wa yote ndiyo huyu sasa unayemsoma hapa juu anafunguka maneno makali kama ya"kumlamba msamba evelyn salt", mara "anataka kumla mtu jicho".

Huyo ndiye anayeiita mchungaji.
 
Mkuu Karucee ingia kwenye "jukwaa la wazee" tafuta post, "Wanyonya kabaang mikono juuuu..."

Huyu mwenzetu aliingia kule kwa gia ya kutoa maandiko matakatifu akitishia watu kiama. Lakini baada ya wadau kumbana kwa maswali, iweje mchungaji unaingia jujkwaa hilo wakati hutaki maudhui yake, taratibu akaanza kubadilika na kufuata upepo wa jukwaa linavyotaka.

Mwisho wa yote ndiyo huyu sasa unayemsoma hapa juu anafunguka maneno makali kama ya"kumlamba msamba evelyn salt", mara "anataka kumla mtu jicho".

Huyo ndiye anayeiita mchungaji.

hahahaaaaaa Mchungaji huyo halafu katuambia tusubirie part two ya ushuhuda lol

habari my king
 
Mkuu Karucee ingia kwenye "jukwaa la wazee" tafuta post, "Wanyonya kabaang mikono juuuu..."

Huyu mwenzetu aliingia kule kwa gia ya kutoa maandiko matakatifu akitishia watu kiama. Lakini baada ya wadau kumbana kwa maswali, iweje mchungaji unaingia jujkwaa hilo wakati hutaki maudhui yake, taratibu akaanza kubadilika na kufuata upepo wa jukwaa linavyotaka.

Mwisho wa yote ndiyo huyu sasa unayemsoma hapa juu anafunguka maneno makali kama ya"kumlamba msamba evelyn salt", mara "anataka kumla mtu jicho".

Huyo ndiye anayeiita mchungaji.
What the hell?? I really hate hypocrites. Alivyokuwa amenikalua kooni sasa. Ohhh uzinzi uzinzi. ------.

Thanks for info mkuu.
 
What the hell?? I really hate hypocrites. Alivyokuwa amenikalua kooni sasa. Ohhh uzinzi uzinzi. ------.

Thanks for info mkuu.
Mkuu asikusumbue huyo hana lolote. Uzuri ni kwamba wadau wa JF wana kumbukumbu, yeye alifikiri alichosema kule huku hakitajulikana.

Another biggest Hypocrite
!
 
Mkuu Karucee ingia kwenye "jukwaa la wazee" tafuta post, "Wanyonya kabaang mikono juuuu..."

Huyu mwenzetu aliingia kule kwa gia ya kutoa maandiko matakatifu akitishia watu kiama. Lakini baada ya wadau kumbana kwa maswali, iweje mchungaji unaingia jujkwaa hilo wakati hutaki maudhui yake, taratibu akaanza kubadilika na kufuata upepo wa jukwaa linavyotaka.

Mwisho wa yote ndiyo huyu sasa unayemsoma hapa juu anafunguka maneno makali kama ya"kumlamba msamba evelyn salt", mara "anataka kumla mtu jicho".

Huyo ndiye anayeiita mchungaji.

Hapo hakuna mchungaji, kwenye thread ya uteuzi wa mgombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA Kalenga ameahidi kutoa tiGO kama CHADEMA watashinda.
 
Hapo hakuna mchungaji, kwenye thread ya uteuzi wa mgombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA Kalenga ameahidi kutoa tiGO kama CHADEMA watashinda.

hivi huyu pastor kawafanya nini jamani!....
 
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail

Hak sawa vitambi vitambi kwa wote .......! Kama namna gani hupendi ............sepa
 
Back
Top Bottom