Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

Status
Not open for further replies.
Poleni sana mnaoumwa sana… kuna miezi siumwagi hata chuchu, ila kisirani inayokuwa hapo. Shetty alaumiwe

Mefanamic ni painkiller bora kwa wakati huo.. ila binafsi siipendi, kidonge chake ni kikubwa sana.
Hongera sana aisee kama huumwi, maana unaweza utamke maneno yotee na yasisaidie kitu
 
Hongera sana aisee kama huumwi, maana unaweza utamke maneno yotee na yasisaidie kitu
Yaan
Nakuwa kama sina kinachoendelea mwilini, ni kusikia vitu vinaflow tu. Ukicheka hivooo vinakuja, vya motoo 😂

Ila kisiraniiiiiiii Jesus!!
Uwiii na Kinakujaga tu auto..

Sometimes napata cramps kidogo, ndo nawaza mnaumwaga sana? 🥹 pole aisee
 
Jibu Swali??Kudindisha ni dhambi??au ni kosa Kisheria??Acha uzwazwa Dogoo
inaonekana hata kitoto cha kike cha miaka mitano kikikatisha mbele yako unadindisha.

nyinyi ndio wabakaji wenyewe.
huna akili.
 
Wacheni uasherati na uzinzi.

Wazee wetu walikuwa wanasema "chango" hilo. Binti gani humu anafahamu "chango" ni nini?
Mimi najua shangazi
Ina maana nyie wahenga kweli mmeshindwa kututafutia majani ya kutibu ilo chango??

Kuna mtu nimekuwa nikimuona anachemsha majani ya mapera anakunywa…
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom