Blessingmore
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 377
- 394
Hata mimi God bless himMimi binfsi navutiwa sana na mshana jr anapost hekima tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi God bless himMimi binfsi navutiwa sana na mshana jr anapost hekima tupu
Yaani hadi wewe hunizimikii kwa lolote..!!!?Mmoja wapo ni Konda wa bodaboda, kiazi chenye mzizi
Haya ndo huwaga majibu ya wanawake waliojaza YOUTONG ya anaowazimikia.... yaani konda anadhani yeye ndo anazimikiwa, dereva naye hivyo.... yaani kola mtu anadhani kuwa yuko peke yakeMie ninaemzimikia anajijua
Najua nikikuweka wazi, utaanza kuja na free kitonga chako....Yaani hadi wewe hunizimikii kwa lolote..!!!?
Dah sijui nimo mmmmh
Mimi hunizimii?Mimi namzikia sana maxence mello..... Yaani nampendaaaa duh
Mpaka damu imekimbia Fasta ,kumbe na wewe bado unaamini ktk upendokuna mkaka anaitwa yaani nikimpata hyo nitakuwa namuogesha kama mtoto sitomuumiza milele till death inaitwa
Ahahaha bora useme ww mkuuNanyie mna kiherehere wameulizwa wanawake mnakimbilia nyinyi mtavikwa madela
[emoji3] [emoji3]kuna mkaka anaitwa yaani nikimpata hyo nitakuwa namuogesha kama mtoto sitomuumiza milele till death inaitwa
Nimekuona jamaniiiiii.Mh Nifah nione mie..[emoji22][emoji35]