Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Nimekuona jamaniiiiii.
Ngoja nianze kukufuatilia.
Mimi nawazimia wanaume wenye akili kubwa,wanaochambua mada kwa hoja nzitonzito....are you the one?
[emoji12] [emoji12]

Nifah njoo nitakuhonga mpaka bahari
 
Mi navutiwa sana na The Boss .
ni kutokana na uandishi wake,hanaga maneno meengi.
Nimejaribu kumwambia ninavyomfeel akanijibu
Kama wew ulivyojibiwa.
Ukitaka kumfahamu vizuri The Boss nenda kwenye jukwaa la siasa na sio MMU.
 
Ukiandika mambo ya maana hakuna wa kukushobokea hasa wanawake we uliwahi kuona MTU anamtaja
1. Pasco
2. Ben saanane
3. Lizabon
4. Britanicca
5. Faiza foxy
6. Nyani ngabu

Wanaotajwa ni hao hao hata ukiangalia wamekaa kaa kwenye MM
Huyo Lizabon anaandikaga nini cha maana zaidi ya ushabiki wa ajabu?
 
Back
Top Bottom