Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

ahahahahhahahhhaaha nalishwaaaaaa!
naogeshwaaaaaa kwenye mayonaise
af nasuguliwa miguu na mafuta ya karafuu
halafu nalazwa kwenye duvet la Hariri lenye marashi ya asumini
ah wacha kabisaaa!
jamaa katishaaaa!
Mapenzi ya kufikirika haya mkuu
 
Navutiwa na mwanaume anayechambua mambo magumu kama ya Siasa hivii, mfano nikute anaongelea kuhusu mgogoro wa Sudan Kusini🙂 au Ile Debate ya Trump na Clinton😀 au anajadili kuhusu Bombadia😛, au ongezeko la VAT Ila wale kwenye thresds zake unakuta ni kuhusu alivyoathiriwa na puny😵to wapite hiviii......
MIE SIPENDI MWENYE MANENO MENGII..Aoongee machache na ya busara.
 
Xhaks
Daby
😀😀 Muwe na amani sasa nimewataja hahahahaha
 
Mapenzi ya kufikirika haya mkuu
mapenzi ni kufikirika best!
au?
we ukiambiwa unapendwa unaaminiga mazima?
ulishawahi kuprove mtu kukupenda?
au kumpenda?
au unaamini tu kuwa unapenda?
hem fikiri upya!
 
Back
Top Bottom