Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Yaaan humu kuna Mada zingine Za ajabu ajabu kila cku Mada znajirudia Tu ubunifu f[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Vyura wa Dsm bana...maji ni machache wanaogelea nchi kavu....karibuni chugga .....dushelele hadi kucheleee....papuchi....hadi inapiga salute...
 
Tena hapo kwenye mtoko ndo mtihani.... Mi siku nyingine hua naahirisha church kisa nywele.... Au mjini kama zimefumuka napata uvivu kutoka kwakweli. Ngoja tu nitaja nyoa tu
Nyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeni
Mimi pia.
Ila jaribu kufikiria hizi nywele hatukuwa nazo...zitaota tu nyingine.
Nimechokaaaaa!
Nikitaka kutoka sina amani nywele natokaje [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Bora nibaki na afro tu.
Nikipata mtoko hata mafuta ya nazi twende na zinashine mbayaa [emoji108]
 
Nyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeni
Waambie wanyoe na Ile misitu ya chini mkuu
 
Nyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeni
Nitanyoa nifuge dread asee...
 
Back
Top Bottom