Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

1475156139452.jpg
 
mapenzi ni kufikirika best!
au?
we ukiambiwa unapendwa unaaminiga mazima?
ulishawahi kuprove mtu kukupenda?
au kumpenda?
au unaamini tu kuwa unapenda?
hem fikiri upya!
Mi nazungumzia kiutani mkuu kwa jinsi ulivyosema kwenye Ile comment
 
Mkuu Mtende, asante kuvutiwa na post zangu ila huwezi jua sometimes usikute sio posti tuu ila kwa sababu posti ndio unaoziona.

Pia ni kweli humu MMU naingia mara chache ila mimi pia I'm only human hivyo nami.. huwezi jua!, nitakutumia salamu zangu in box!

Pasco
Hahaha loh haya karibu inbox ila ukija inbox mada za siasa ziweke pembeni maana mimi nimeshajiuzulu siasa kwa sasa mpaka awamu hii ipite[emoji3] [emoji3]
 
Navutiwa na mwanaume anayechambua mambo magumu kama ya Siasa hivii, mfano nikute anaongelea kuhusu mgogoro wa Sudan Kusini🙂 au Ile Debate ya Trump na Clinton😀 au anajadili kuhusu Bombadia😛, au ongezeko la VAT Ila wale kwenye thresds zake unakuta ni kuhusu alivyoathiriwa na puny😵to wapite hiviii......
Muite Pasco, atakuchambulua hata ukitaka historia ya dunia ila inabidi uwe mwelewa maana lugh yake inahitaji umakini wa hali ya juu nadhani ni kutokana na haka kasheria ka mtandao
 
Back
Top Bottom