Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Na wakigongewa wanarudi tena hapa,
Utasikia mara ooh wanawake hawajatulia, mara wanapenda hela,
Sasa bila kumpa hela atakuawaje mkali?

Nyie wanaume nyieee,jiongezeni jmn
Humu kutwa thread za kutuponda, mara hivi....mara vile, wakati vyanzo ni wao na ulimbukeni wao.
Kutwaaaa tuko midomoni mwao kama big G.

Nimetoka kwetu mzima, cha kwenda kupatia kilema kwa bwana ina huuuuu!!!!
Watupishe sie na akili zao nusu kasorobo.
Washazoea vya kunyonga, vya kuchinja vitawatia mgoro!!
 
Madame,
wakitokezea hapa mi nakimbia,mana si kwa kichambo hiki,
 
Eeeeeeee[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Eeeeeeee[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Eeeeeeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Eeeeeeeeee
 
Uwakimbie kwa kipi kikubwa tulichowakosea?
Na waje, hawana adabu hawa vibaka wa wanawake.
Yaani hakuna siku ipite bila kutukarahisha.
Mie nishawachoka aisee.
Ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaa
Umesema ni vibaka wa nani?
Umenifanya nicheke madame
 
Zali la mentali hilo msukuma
Hahaaa yaani we muda wote unawaza mazali tu.

Mambo mengine huwa ni utani tu.

Be easy[emoji205]

Halafu naona Afrodenzi kafunguka kwa jamaa yako hapo.

Wivu unao au huna ila kamoyo kanauma?[emoji3] [emoji3]
 
Hahaaa yaani we muda wote unawaza mazali tu.

Mambo mengine huwa ni utani tu.

Be easy[emoji205]

Halafu naona Afrodenzi kafunguka kwa jamaa yako hapo.

Wivu unao au huna ila kamoyo kanauma?[emoji3] [emoji3]
Ha haa nimeona, nyie wasukuma kua na wake wengi si kawaida yenu?

Namsubiri Kiranga aje ahalalishe tu apa niwe na mke mwenza
 
Ina maana na mi hakuna anayenizimikia pamoja na U hb wote huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…