Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Yes! How do you see? Jejes! Kidhungu kidogo kunogesha.
hahahahaha umeonaaaeeeee, kizungu kinanogesha aisee, ukija kwenye kifaransa ndo kwisha habari yako.

am occupied though.
 
Navutiwa na The bold humu kwa hadithi na makala, pia Daby hahahaaa ndo namchunguza now km anavigezo...ila anabivutia kuwa mmoja ya wachangiaji waliowah kuzushiwa humu

Navutiwa na Gentamycinie (mods sahihisheni tafadhali)...sijui nimekosea spelingii ila kaelewa

Navutiwa na kaka mshana Jr saaaanaaa tu, pia kaka "the first" kuriplaiii.. Jovere...., pia kiongozi Manga ML

Yan wapo wengi ila hao wananivutia uchangiaji wao, mada zao na ushabiki wao kwa baadhi ya mada ni burudani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan wewe... haya tu
 
Duuh yaani nimeserch comments zoote, hakuna mmama niliyemvutia aisee. Kweli tusio na majina hatuvutii
 
hahahahaha umeonaaaeeeee, kizungu kinanogesha aisee, ukija kwenye kifaransa ndo kwisha habari yako.

am occupied though.
Ngombe wa maskini hazai. Thanks for being occupied. Stick on that and God bless your couple.
Ladies!
 
mm naangalia vigezo vifuatavyo kwa mwanaume
awe hb
awe na six packs au mwili wa mazoez
Awe na swaggz
pesa iongee
Kati ya hivyo hapa at least uwe na kimoja

Sent from my Samsung galaxy- S7 edge using Jamiiforum mobile App
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanaume anatafuta mwanaume mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…