KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 459
Haya ndio maneno sio mtu unakula vya mwenzio alafu mbususu wamnyima. Roho ya kishetani hiyoWe lazima uliwe Kama ulivyokula vya watu....mtu Kama humtaki Inabidi um avoid mazoea nae tangia mwanzoni Wala usipokee misaada Wala zawadi zake ....My friend remember MLA,.....HULWA😁😁😁😁😁
au unasemaje mzee mwenzangu mzabzab ?
Uchungu gani? Mie na wazee damdam,Usisistize saaaaasa ujue hizi kauli zako zinatia uchungu? 😭
Very selfish creaturesKupokea vitu vyake huogopi atakutangaza,ila wewe kumpa vyako ndiyo uogope kutangazwa.
Wanawake bhana.
Hapa kuna kitu hakiwekwi vizuri. Ilkuwaje hukujua? Je uhusiano wenu ulianzaje hadi usijue? Je ulipojua ulichukua hatua gani kukwepa haya? Je inakuwaje unamuita mumeo wakati alikuwa mume wa mtu?Habari wanaJamiiForums.
Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao.
Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.
Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.
Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waongo tu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.
Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi.
Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night.
Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.
Kiukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.
Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.
Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.
Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tu dear.
Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.
Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.
Karibu mwenzangu.
For me it's a no, bora hata tulingane au anizidi kidogo hata days, ila mdogo kwangu mmh aje aniite mama ake mdogo[emoji848]
Mume alizaa nje watoto mapacha nilijua siku ya msimba.Mimi juu kote hakuna nilichoelewa...
Nimeelewa mwishoni tu kwenye swali
Aise hatari yaani una mvuto eeh ebu mpe kijana mbususu hiyo cha muhimu sii anajua kukuhudumiaHabari wanaJamiiForums.
Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita.
Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa. Kwani niliona watoto wawili wa kiume(mapacha) wanaumri kama wa mtoto wangu wa kwanza na wamefanana hivyo hivyo na Baba yao.
Ni kitu kilinishitua sana na kuniacha na maumivu makali sana. Sasa ni single mother nilijaribu kumove on ila mtu yule alikuwa ni mume wa mtu nilikuja kujua baada ya miezi 7 kwenye mahusiano.
Sasa wanawake wenzangu naombeni ushauri kwa hili mimi ninaishi tuu na watoto wangu na ninajishughulisha na salon ya kike ni kibwa sana, pia nauza na vinywaji kama soda na juice.
Sasa miezi kama 9 iliyopita nilifahamiana na kijana mmoja anaumri wa miaka 27 kwenda 28. Mara nyingine sipendi mazoea na wanaume nawaona kama ni waongo tu. Lakini huyu nilimzoea kwa sababu la jina lake ni la kabila letu means wote ni kabila moja.
Alijua maisha yangu ninayoishi kwani alikuwa anakuja kununua mtindi sana maana nauza na mtindi.
Tulibadilishana namba za simu na kuwasiliana , na kuna kipindi tukawa hata tunapiga story hata night.
Nilimzoea kiasi cha kujua maisha yangu na kuanza kuniasidia hasa watoto wangu.
Kiukweli alinisaidia sana tena sana, nikawa ninamshukuru kwa lile, pia alinisaidia kuninunulia hata baadhi ya Vifaa vya salon vya kisasa kwenye salon yangu. Kwa kweli ukalibu nae uliongezeka.
Yeye anafanya kazi na ana gari na mishe zake zingine.
Sasa ishu ni kwamba kama 3 weeks ago aliaanza kuniambie kuwa ananihitaji mimi nikufahamu home kwake niende nipajue na kupiga nae story. Alivyoniambia hivyo nikajua nia yake ni nini. Kusema ukweli nilimzungusha kama 1 week hivi.
Ila mwishowe akaanza kunitongoza siunajua vijana. Sasa sikumjibu lolote kwani sikutana kumjibu vibaya kwa urafiki tulionao. Tena akaenda mbali zaidi na kuniambie usijali tutapima ili tuwe safe dear. Nikamwambia sawa tu dear.
Wanawake wenzangu naombe ushairi mimi mama nina 39 japo ndio nina mvuto na ni mweupe kiasi na shape yangu na sauti yangu hii. Nimeshidwa kumkatalia wala kumjibu vibaya.
Ila naona ni kijana mdogo tena wakumvulia chup* kweli. Naona kama nikifanya hivi anaweza hata tangaza kwa vijana wenzie, maana ndo tabia ya vijana wadogo. Pia katika maisha yangu sijawahi kusexy na kijana mdogo tena aliyenizidi umri zaidi ya 10 years, wote niliokutanao wamenizidi mimi umri.
Pia nahitaji kuanzisha bishara nyingine aliniambie atanisaidia.
Sasa kama kuna mwanamke mwenzangu amewahi kutembea na kijana mdogo aliyemzidi umri kiasi hicho hata kama sio hivyo anipe experience kidogo nijue namna ya kudeal ni hii.
Karibu mwenzangu.
Wewe huyo sio muolewaji bwana kashaolewa na cpa yake🤣🤣🤣🤣The way utavyozid kukua ndo utaona ni namna gani umepoteza chance nyingi za kuenjoy kwa insecurities zako penzi halina umri wala nini, unapaswa kuzingatia mtu anavyokuja kama kakuonesha heshima, anahudumia, anajitambua then why ujiwekee mipaka ikiwa upo free na unahitaj mtu wakutak iyo chance([emoji16]wanawake akili zenu sijui hua zikoje)
binafsi nina ndugu wakike kaolewa marayapili na kijana ni around 40iv ila kwa yeye ni kijana, iyo ni baada ya muda sana kukaa kwenye ndoa na kizee kilichokua kinamatukio kila leo na amekaa nacho miaka mingi na shida kubwa ilikua ni ulevi na kupenda kuingulia vischana kinyume na maumbile alafu kikiugua maUTI ni kali mpaka wakizibue mirija naskia naye ndo anateseka nacho hospital na alikua hana kauli maana kilikua na mali so ndugu wa mwanaume waliona ni sawa mzee kuishi kwa kutimia fantasy zake kwakua anatumia pesa yake na anawajali, dada alionekana hana maana sana.
Ila nimegundua wanawake wengi wanaona kua hii ni issue ni hawa wa 30s ndo iyo shida yao kos wametokea kua na dispointments nyingi kwa vijana wenzao ila wakifika 48+ ndo huja kugundua ni wanahitaj nini kwa mwanaume na hupata upendo wa dhati kwa watu walio wazid umri chunguza. Mi mwenywe naona tunakoelekea na mkewangu atakuja kunichoka najiona kua bored sana miaka inayokuja, nachukia sana uzee.
Tena ni roho ya kishetani iletayo mauti,maana mwenye vyake akikasirika risasi Saba za kichwa au bisu la roho!wadada tuache kula vya watu tusiotaka kuwapa ushirikianoHaya ndio maneno sio mtu unakula vya mwenzio alafu mbususu wamnyima. Roho ya kishetani hiyo
Wee pamoja na kuninyima mbususu lakini nakuheshimu maana wala hukutaka kula vya kwangu.Tena ni roho ya kishetani iletayo mauti,maana mwenye vyake akikasirika risasi Saba za kichwa au bisu la roho!wadada tuache kula vya watu tusiotaka kuwapa ushirikiano
Wewe huyo sio muolewaji bwana kashaolewa na cpa yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe na wee umeona ehh[emoji23][emoji23][emoji23]na nikweli
Ndio nipo dsm kawe kijana anakaa mbezi tangibovuUnaonekana kabisa wewe ni mama wa dar
We shunie wewe..!!! Mamdogo Amehlo embu njoo usome alichokiandika Shunie...!!Labda nyege zikizidi atatumia kibomba [emoji1787]
Aaah mi silagi pesa za mtu ambaye mbeleni nitamnyima,Mimi napiga mizinga mlengwa wangu🤣 🤣🤣🤣na balance mizaniWee pamoja na kuninyima mbususu lakini nakuheshimu maana wala hukutaka kula vya kwangu.
Waeleze hao hiyo sio tabia nzuri ni kujifikiria wewe tuu, just pure selfishness. Ila atanasa tuu na atatendwa ashangae maane sienwanaume kutumia mamilion tukukule na kusepa sio shida
💯🤝
Huku ndio unafit sio kule
Huku una point zenye mashiko tofauti na kuleKila jukwaa na maudhui yake, kule ni kule huku ni huku.....hehehe
Nyie nyie nyieeeeeeeeeeee...!!! kuna wamama ushauri humu wanatoa ushauri hatari..!!Umri ni namba Tu, umri sio busara...ndo hivo marehemu hasemwi vibaya Ila ningekusimulia mtu flani aliyekuwa na umri mkubwa lakini matendo ya hovyo🤣🤣
Wewe ndo unamjua huyo jamaa, wanawake tumejaaliwa jicho la kuona mbali, mpime, muangalie Kwa Hilo jicho....Kama anafaa nenda kampe yote🤸🏿♀️🤣