Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Napendekeza wanaume wakushauri pia watakujenga zaidi
 
Anakula nini labda?
Mtu mwingine anatamani uzee ama ukubwa wa mtu ndiyo hisia zake zinashika sawa sawa!
Anaweza Kuwa Anatamani Ukubwa Wa Mtu Lakini Huyo Mtu Mkubwa Athumani Kichwa wake Mdogo.
Ila Simshauri Ampe utamu Huyo Kijana Ukimwi Upo,Mimba Zisizotarajiwa,Gono,Dhambi,Moto
 
Vijana utagegedwa hadi ukome.wanataka syle zote .sitaki hata kwa hela
Bora wazee udeke zako.achana nae
 
Kwani anataka akuoe au akukule tu na kusepa!?
Kama ndoa go for it,
Kama kukulana tu daah!! Mshinde shetani usizini.
 
Udhaifu ulio uonesha kwenye post hii.

* Ana gari na ana kazi yake.

* Mimi ni mweupe na Nina mvuto.

Itoshe kusema una tamani anavyo kupa ila hutaki kumpa utamu hamuwezi kuhitimisha vizuri.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi hayana umri ajilie raha zake, mimi mwenyewe nina mpango wa kuchukua ki IST kangu kimoja nikitafune hadi mifupa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu mie sikuweziii.
 
Mapenzi hayana umri ajilie raha zake, mimi mwenyewe nina mpango wa kuchukua ki IST kangu kimoja nikitafune hadi mifupa [emoji1787][emoji1787]

Ndio maana nina vyeti viwili vya kuzaliwa
Kwa nilivyo nitafaidi japokua nina age ya mbalii
 
Haaaa dear,
Umewahi wewe ilikuwaje hata pm njoo dear

Mrejesho wako ulio tu update unaujua wewe tu na [mention]Cvez [/mention] sisi wengine hatujui na ulikuja tuomba ushauri
Wengine tunasita kushauri sababu unasema mlikutana Pm na cvez na umeshaamua kutumia ushauri wake

Tuandikie kile ulichoamua mama yetu na dada yetu
 
Naomba unipm naomba nikuulize kitu

Akakushauri kusagana?
Raha jipe mwenyewe manake ukajisigue simi lako au waku blend wanawake wenzako mama yetu

Ushauri ndio huo tu mwanakwetu mimi nimetangulia kusema ili ubadilishwe na hata ukisemwa uwe unajua kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…