Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.

Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.

Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.

Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
 
... wanawake wa R-Chuga wana sauti zenye ubora wa hali ya juu acha ukuda.
 
Nia yako ni diva na mange kimambi tu uwaseme hakuna lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…