Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂Yani unadai chenji ya afkumi halafu uongee Kama Wema Sepetu?🤣🤣🤣 Makonda wenyewe wa Buza? Lazima utoe sauti flani hivi ya kimtoto wa Mbwa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Yani unadai chenji ya afkumi halafu uongee Kama Wema Sepetu?🤣🤣🤣 Makonda wenyewe wa Buza? Lazima utoe sauti flani hivi ya kimtoto wa Mbwa🤣🤣🤣
Niishie kuitwa masuria bure na hulisi nikose🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo shoga angu awe makini, hivi vizee vilivyogoma kuzeeka ni tatizo
Naomba link ya uo Uzi natafuta sound ya kuweka ringtone 😁kuna uzi uliweka sound recording ndo niliskia
Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.
Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
Ulisi hupati shogaangu 🤣🤣🤣Niishie kuitwa masuria bure na hulisi nikose🤣🤣🤣