Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ushaanza kulewa? 😂Wewe si ndio yule dada wa brands,[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaanza kulewa? 😂Wewe si ndio yule dada wa brands,[emoji23][emoji23]
Acha kunisagia basi🤣🤣Akikutumia naoga chiu gerezani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyambaff. Wewe una sauti nzuri?Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.
Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
🤣🤣🤣Acha kunisagia basi🤣🤣
Unataka kumrushia kichaa mawe!Maweeee
Hahaha, lakini upo sahihi sana, tuko uchumi wa BULUU, hakuna mapene ya dezo🤣🤣🤣
Namshtua shoga angu asijichoshe kuumiza macho kwenye simu kuangalia muamala hewa
Vizee vya hovyo 🤣🤣🤣Hahaha, lakini upo sahihi sana, tuko uchumi wa BULUU, hakuna mapene ya dezo
Vinazeeka katika ubora wao...🤣🤣Vizee vya hovyo 🤣🤣🤣
Duh wana mna majibuSauti ya nini mkuu,kwani unatia kooni??
Me nitasogea pale feri nipuuu mafungufungu 😀😀😀Akikutumia naoga chiu gerezani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baba una gubu wewe 😁😁😁Ukiila nawe ujiandae...🤣
Kwani vipo vya bure kwa ubepari huu mkuu?🤣Baba una gubu wewe 😁😁😁
Naogopa tu kuitwa masuria nikose hulisi 😅😅😅Kwani vipo vya bure kwa ubepari huu mkuu?🤣
Vinazeeka katika ubora wao...[emoji1787][emoji1787]
Me nitasogea pale feri nipuuu mafungufungu [emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna free P ila malipo yasiwe ya kukomoana as If upande mmoja ndio unafaidi sana🤣🤣Mpk vibabu navyo vinataka kupiga free P [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣Naogopa tu kuitwa masuria nikose hulisi 😅😅😅
Hakuna free P ila malipo yasiwe ya kukomoana as If upande mmoja ndio unafaidi sana[emoji1787][emoji1787]
Shoga yako ameshaelewa, mjini hakuna kusumbuana mbona...🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo shoga angu awe makini, hivi vizee vilivyogoma kuzeeka ni tatizo
Shoga yako ameshaelewa, mjini hakuna kusumbuana mbona...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]