Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nyie wachugga mnanizoea 🤣🤣🤣[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wachugga mnanizoea 🤣🤣🤣[emoji23]
yaishe usije ukanipopoa hapa😅Ndo inayo wapagawisha wewe na kaka ako hamuachi kunifatilia
Ila nimecheka kingese dah! 🤣🤣🤣🤣
Why Burna boy 😂😂
😂😂Nimeanza kushinda beach ili sauti iwe nyororo 🤣🤣🤣
Nimecheka 🤣🤣🤣Alafu ndio unazidi kupendwa[emoji23]
Shosti nasimangwa na sauti yangu 🤣🤣🤣
Wala sikupopoi shem wangu 🤣🤣yaishe usije ukanipopoa hapa😅
umemzidi 'dogo wa jinsia' base🤣
maswali mengi kwani we ni polisi?😂Kwanza wewe sauti yangu uliisikia wapi??
Tulia sauti niiweke sawa hiyo[emoji23]Nyie wachugga mnanizoea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwel kabisa mkuuHuo ndio ukweli najalibu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine ,ukweli sauti zao nzuri sana sana ,ila hapa Tz na East afrika nzima yaani kushuka south kwa Africa kuanzia jangwa la sahara,sijaona.
hapa Tz ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au Tv.
Humo humo, ariifu kama zoteNimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana aiseee!! Nina sauti km pisi za chugga [emoji23][emoji23]
Huijui sema unamsikiliza Kantri anavyosema nina base 🤣🤣🤣maswali mengi kwani we ni polisi?😂
kuna uzi uliweka sound recording ndo niliskiaHuijui sema unamsikiliza Kantri anavyosema nina base 🤣🤣🤣
Me nina sauti traaamu ya kumtoa nyoka pangoni ohoo!
Usimsikilize kaka ako anakudanganya huyo
Hiyo traaamu umeandika kama wizo[emoji23][emoji23]Huijui sema unamsikiliza Kantri anavyosema nina base [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Me nina sauti traaamu ya kumtoa nyoka pangoni ohoo!
Usimsikilize kaka ako anakudanganya huyo
Utatumia spana namba ngapi kuiweka sawa??🤣🤣🤣Tulia sauti niiweke sawa hiyo[emoji23]
Wizo kashaniharibu 🤣🤣🤣Hiyo traaamu umeandika kama wizo[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 sasa pale nilijitahidi kujibana, ili nisimkimbize kaka ako penzi lilikuwa jipya.kuna uzi uliweka sound recording ndo niliskia
Hiyo kuna namna mbona ngoja nigugu[emoji23]Utatumia spana namba ngapi kuiweka sawa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]