Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Fanya hivo mtu wangu 🤣🤣[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya hivo mtu wangu 🤣🤣[emoji23][emoji23]
Sauti nzuri humtoa nyoka usingizini, najaribu kumsemea mleta hoja!Sasa sauti nyie Inawasaidia nini lakini mbona hamuachi kutuandama 🤣🤣🤣🤣
Ushaambiwa Tz nzima kasoro Wema Sepetu 🤣🤣🤣Wewe nzito pia?
Basi me nyoka itabidi abaki hukohuko tu asitoke 😁😁Sauti nzuri humtoa nyoka usingizini, najaribu kumsemea mleta hoja!
Asa hizo niaje kwenye mambo yetu inakuwaje mkuu? Nyie watu wa huko kuna namna siwaelewi hata!Utasikia "" niaje chali angu"
Tubebe na mayai 😀😀😀Tuanze kushinda coco shosti 🤣🤣🤣
Asipotoka utaanza kulaumu tena, ooh huyu nyoka nimemfata hadi huku lakini kasinzia, kumbe shida ni sauti yako.Basi me nyoka itabidi abaki hukohuko tu asitoke 😁😁
🤣🤣sa ukute sauti zege hlf na vile wanavoongea kibabeUtasikia "" niaje chali angu"
😀😀Kama kawaidaWewe nzito pia?
Umesahau kusema, Elewa neno “NYOKA” 🤣Sauti nzuri humtoa nyoka usingizini, najaribu kumsemea mleta hoja!
Nyoka atakuwa mvivu huyo haumiAsipotoka utaanza kulaumu tena, ooh huyu nyoka nimemfata hadi huku lakini kasinzia, kumbe shida ni sauti yako.
Hawezi acha kuelewa, sijatumia maneno magumu na huyu ni mtaalam kama wewe tu🤣Umesahau kusema, Elewa neno “NYOKA” 🤣
Nyoka wa kizazi hiki hawana hasira wala sumu nyingi, wachokoze kwanza mamaa!!Nyoka atakuwa mvivu huyo haumi
Ya kienyeji au ya kisasa? 🤣🤣🤣Tubebe na mayai 😀😀😀
Nyoka zenyewe mpk za kuboost na vumbi hazisikii sauti 🤣🤣🤣Hawezi acha kuelewa, sijatumia maneno magumu na huyu ni mtaalam kama wewe tu🤣
Siku hz wanalia unashangaa badala ya kung'ata anaanza kulia....vinadeka sanaNyoka wa kizazi hiki hawana hasira wala sumu nyingi, wachokoze kwanza mamaa!!
Sasa mijanajike unayokutana nayo ya bar tu, makoo yao yameshaunguzwa na pombe, hiyo sauti nzuri utaitolea wapi?Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.
Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
Kwa hiyo husikilizagi hata hotuba za mama Abdu?Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.