Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Kwa sisi wachakataji mbususu ikiwa nzuri inatosha kwa huku kwetu mambo ya sauti waachie wahindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau na mdalasini wa unga tumixie humo kwa asali 🤣😂😂😂mada imenigusa
Nimeagiza mayai trey na asali ya nyuki wadogo😆
Upload voice note ya kwako basi wacha maneno mengi.Sasa mijanajike unayokutana nayo ya bar tu, makoo yao yameshaunguzwa na pombe, hiyo sauti nzuri utaitolea wapi?
Unanshangaza!
😀😀😀Et za kina gigyYa kienyeji au ya kisasa? 🤣🤣🤣
Mwenzio nilikuwa naimba nyimbo ya Beyonce, Odo asinipopoe eti, “Wewe kwa hiyo sauti imba za kina Gigy tu!” Nilicheka mpk sio powa
Basi tena, kama hadi mavumbi ndio aanze kung'ata basi tena..ndio maana nyoka wazee bado wana dili sana mjini🤣🤣🤣Nyoka zenyewe mpk za kuboost na vumbi hazisikii sauti 🤣🤣🤣
Usiombe uimbe nyimbo za kulalamika mfano la la lah😀😀unaweza ukajikimbiaYa kienyeji au ya kisasa? 🤣🤣🤣
Mwenzio nilikuwa naimba nyimbo ya Beyonce, Odo asinipopoe eti, “Wewe kwa hiyo sauti imba za kina Gigy tu!” Nilicheka mpk sio powa
Bibi kwa kuwa wewe una sauti nzuri km ya Bi kiddie umeamua kutuchamba 🤣🤣🤣Sasa mijanajike unayokutana nayo ya bar tu, makoo yao yameshaunguzwa na pombe, hiyo sauti nzuri utaitolea wapi?
Unanshangaza!
Badili mwelekeo, majoka ya kibisa yale mzee kabisa bado yanang'ata sana🤣Siku hz wanalia unashangaa badala ya kung'ata anaanza kulia....vinadeka sana
Hao wazee si ndio wateja wakubwa wa viagra 🤣🤣🤣Basi tena, kama hadi mavumbi ndio aanze kung'ata basi tena..ndio maana nyoka wazee bado wana dili sana mjini🤣🤣🤣
😂😂😂Ukivurugwa sauti inabadilikaMie nitoe hapo kwenye list yako, Nina sauti nzuri huchoki kunisikiliza....nikisoma Qur'an sasa hadi Baba K ananitunza pesa🤣
Ila nikivurugwa nna sauti yangu flani hivi🤣🤣
Acha kabisaaaa🤣🤣🤣Usiombe uimbe nyimbo za kulalamika mfano la la lah😀😀unaweza ukajikimbia
Mimi huwa naimba nazirekodi nasikiliza mwenyew 😀 😀
😂😂😂😂Acha kabisaaaa🤣🤣🤣
Unavyoimba unajiona Bey huyu hapa, subiri uisikilize sasa utasema mlevi anamuita mhudumu aongoze mzinga mwingine wa Zappa 🤣🤣🤣
Nani kasema hizo habari, wazee wanakula na kunywa vizuri, ni shughuli moja ya nguvu inakuweka huru hadi baada ya wiki.🤪💪Hao wazee si ndio wateja wakubwa wa viagra 🤣🤣🤣
Tufanye tuzitoe hiz sauti za kina Gigy shosti 🤣🤣🤣😀😀😀Et za kina gigy
😂😂Kweli nduguTufanye tuzitoe hiz sauti za kina Gigy shosti 🤣🤣🤣
Mama K ebu jirecord nihakikishe kwanza 🤣🤣🤣Mie nitoe hapo kwenye list yako, Nina sauti nzuri huchoki kunisikiliza....nikisoma Qur'an sasa hadi Baba K ananitunza pesa🤣
Ila nikivurugwa nna sauti yangu flani hivi🤣🤣
Mipombe nyinyi, mishisha nyinyi, mirungi nyinyi, mibangi nyinyi. Hizo sauti nzuri zibakie wapi?Bibi kwa kuwa wewe una sauti nzuri km ya Bi kiddie umeamua kutuchamba 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂😂😂