Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
😂😂😂😂Nimecheka
Kuna rafiki yangu akiita mtoto hamsikii ananiita hebu niitie yule Nikiita mara moja anaitika😂😂😂
 
🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
Hapo lazima ustaarabu uharibike na konda atashangaa huyu ni ke kweli? 🤣🤣🤣
 
Ak
🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
Mwenyewe anageuka aangalie chalii gani hii
 
Back
Top Bottom