Shoga nikivurugwa nina base hilooo🤣🤣🤣Mama K ebu jirecord nihakikishe kwanza 🤣🤣🤣
Mbona nahisi na wewe una base shogare
Afu nna sauti ya kuombea hela🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga nikivurugwa nina base hilooo🤣🤣🤣Mama K ebu jirecord nihakikishe kwanza 🤣🤣🤣
Mbona nahisi na wewe una base shogare
😂😂😂😂Nimecheka🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
Hawana jema kwanza me sauti yangu naipenda afu nasifiwa sana 🤣🤣🤣Unafikir yataisha haya 😀😀😀watakuja na jipya
Tengenezeni sauti hizo, haya mambo yanahitaji kila mtu aimbe sauti yake bwana!!Basi yasitishwe na sauti zetu za Burnaboy
Weka link niisikilize.Bibi mbona hiyo comment yako ipo kwenye nyimbo ya Mbosso 🤣🤣🤣
Hapo lazima ustaarabu uharibike na konda atashangaa huyu ni ke kweli? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
Huna experience ya wazee? Basi jaribu uone, utakuja kuniambia..🤣🤣Mzee unajipigia debe 😀😀😀
Kwenye nanii hatusikilizagi sauti bwanaaTengenezeni sauti hizo, haya mambo yanahitaji kila mtu aimbe sauti yake bwana!!
Sauti iendane na Muktadha🤣🤣🤣😂😂😂😂Nimecheka
Kuna rafiki yangu akiita mtoto hamsikii ananiita hebu niitie yule Nikiita mara moja anaitika😂😂😂
Mwenyewe anageuka aangalie chalii gani hii🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣
Upo na video tuone 😝Huna experience ya wazee? Basi jaribu uone, utakuja kuniambia..🤣🤣
[emoji1787][emoji1787]kiongozi una sauti zege nn
Hapo umeshtuka sana, jana kuna mmoja wa huko kwenu nilikua nae nikamuambia anipe dokezo kidogo. Nikakariri[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikijui hata kimoja hapo!! Ndo kusema?
Huwa mnasikiliza nini mkuu!Kwenye nanii hatusikilizagi sauti bwanaa
Kwakweli 😀😀Sauti iendane na Muktadha🤣🤣🤣
Video ipo, tena imerekodiwa leo leo!!🤣🤣Upo na video tuone 😝
Anazingua huyo[emoji23]Ushaambiwa Tz nzima kasoro Wema Sepetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji3][emoji3]Kama kawaida