Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Huo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.

Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.

Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.

Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
Hama nchi, maana hapa sasa mpaka wake zetu wenye sauti nzuri nao umewaweka. Acha hizo
 
Mtihani huu nmefeli...sauti yangu kama najma wa dadaz
Najma wa dadaz, hata simjui..ngoja nitaangalia hicho kipindi cha dadaz nimsikilize, huenda kwangu ikawa sauti bora kuliko zote🤣🤣🤣
 
Mipombe nyinyi, mishisha nyinyi, mirungi nyinyi, mibangi nyinyi. Hizo sauti nzuri zibakie wapi?
Na hii ndo shida kubwa. Mtu akishajiweza vizuri kidogo anahamia kwenye mamitungi, mashisha na nyama choma ndo inakuwa staili mpya ya maisha.

Baadae unakuta mtoto mdogo tu ana kifua kipana kama mandonga ameshashuka kitambi yuko kama kiroba hauwezi kujua kichwa na shingo, mgongo na taco vinakomea wapi.
 
Mam k huwa hatabiriki
emoji23.png
Mama K Odo mtupu 🤣🤣
 
Back
Top Bottom