Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Mtihani huu nmefeli...sauti yangu kama najma wa dadazFanya jitohada za kutengeneza sauti, halafu uitumie vizuri then lete mrejesho!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtihani huu nmefeli...sauti yangu kama najma wa dadazFanya jitohada za kutengeneza sauti, halafu uitumie vizuri then lete mrejesho!!
Kweli sijui kitu 🤣🤣🤣Hapo umeshtuka sana, jana kuna mmoja wa huko kwenu nilikua nae nikamuambia anipe dokezo kidogo. Nikakariri[emoji23]
Mam k huwa hatabiriki[emoji23]Mama K ebu jirecord nihakikishe kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona nahisi na wewe una base shogare
Next stop itakuwa tunavyotembea, watasema tunatembea Kama tunakimbia mabomu.Tujue kabisa tujiandae....uliona yule aliongelea uvungu..nikasema basiiiii
🤣🤣🤣 Nyie si walevi wa taifaHadi zappa unaijua[emoji23][emoji23][emoji23], umetisha sana.
Nna ciroc leo
Hama nchi, maana hapa sasa mpaka wake zetu wenye sauti nzuri nao umewaweka. Acha hizoHuo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.
Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
Najma wa dadaz, hata simjui..ngoja nitaangalia hicho kipindi cha dadaz nimsikilize, huenda kwangu ikawa sauti bora kuliko zote🤣🤣🤣Mtihani huu nmefeli...sauti yangu kama najma wa dadaz
Na hii ndo shida kubwa. Mtu akishajiweza vizuri kidogo anahamia kwenye mamitungi, mashisha na nyama choma ndo inakuwa staili mpya ya maisha.Mipombe nyinyi, mishisha nyinyi, mirungi nyinyi, mibangi nyinyi. Hizo sauti nzuri zibakie wapi?
Uache kunywa autumn harvest[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mhudumu niitie na wa jikoni walevi wote wanageuka afu wanaona pisi ya kwendea, shida ipo kwenye sauti!!
Uliufatilia uvungu wako, hukuleta mrejesho🤣Mmeamia kwenye sauti sasa
Mama K Odo mtupu 🤣🤣Mam k huwa hatabiriki![]()
Nakunywa maji ss hivi 🤣🤣Uache kunywa autumn harvest[emoji23]
Sielewi nichukue maamuzi magumu au nibaki tulee wajukuu😁😁Uliufatilia uvungu wako, hukuleta mrejesho🤣
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣 Kaka Mkubwa eti hawa wanataka nikulegezee sauti Kaka ake🤣🤣🤣Mam k huwa hatabiriki[emoji23]
Wenye visogo. Wanawake wenye visogo wanaongezeka sana, ile kusuka ilikua inaficha mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkitoka kwenye sauti mnahamia wapi?
Si ndio hapo sasa, komaa hivyo hivyo[emoji23]Huyu mtoa mada anataka tulegeze sauti barabarani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haiwashi shogaangu 🤣🤣🤣Kwani inawasha shogaangu
🤣🤣🤣 hatareeeWenye visogo. Wanawake wenye visogo wanaongezeka sana, ile kusuka ilikua inaficha mengi
Aisee yaani hapo anasema lione sijui atasema nini leo.