Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Makubwa acha tukae kimya tuwe tunatikisa vichwa tu kama ngedere
 
Huogopi siku kichaa kikimuanza katikati ya shughuli ukute kakunyofoa kissme? 🤣🤣🤣
Baba K kasafiri akirudi nakagua miguu, siwezi kuishi Kwa wasiwasi Mimi🤣🤣🤣🤣
Kwa kuwa kwa sasa haoneshi dalili yoyote acha Nimpende jinsi alivyo uzuri na mimi nina uvungu kwa hiyo siku hiyo itakuwa mtafutano 😁😁😁
 
Back
Top Bottom