Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Usiondoke bado hujasemašNalog outš¤£š¤£š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiondoke bado hujasemašNalog outš¤£š¤£š¤£š¤£
Wallahi nimechekaaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Kwa kuwa kwa sasa haoneshi dalili yoyote acha Nimpende jinsi alivyo uzuri na mimi nina uvungu kwa hiyo siku hiyo itakuwa mtafutano ššš
Hadi niseme Leoš¤£š¤£š¤£š¤£Usiondoke bado hujasemaš
š¤£š¤£š¤£Jamani sio Mimiš¤£š¤£
šššWallahi nimechekaaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Crazy Baby ššš
Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.Wacha wee bibi šš
Basi tunaacha ulevi ili tuwe na sauti nyororo
Kantri anazingua, siku hizi kajua kunibananishaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Kantri anakufananisha na mama ake mdogo wa mkewe eti!!!
Kweli una ciroc pembeni, Siri zinaanza kutoka š¤£š¤£š¤£Ikichomoka alafu kurudishia inachukuaa mudaš
Ukiwa hujaridhika na speedš
Umeacha leo? Jana tu pilau ulikua unashushia na kitu ya autumnšššNimeacha ss hivi š¤£š¤£š¤£
Sawa bibi tumesikia, tutayafanyia kazi šPateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.
Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.
Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
Una maisha marefu sanašKantri anazingua, siku hizi kajua kunibananishaš¤£š¤£š¤£š¤£
Mkuu ukizaliwa na sauti nzito ukitumia ushauri wako sauti inaweza kuwa nzuri.Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.
Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.
Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
š¤£š¤£š¤£Kantri anazingua, siku hizi kajua kunibananishaš¤£š¤£š¤£š¤£
š¤£š¤£š¤£Umeacha leo? Jana tu pilau ulikua unashushia na kitu ya autumnššš
Eti una sauti kali kama radi...Una yako !!!
Ngoja aseme ni yeye, sijui sura utaificha wapi? š¤£š¤£š¤£Usiondoke bado hujasemaš