Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Wacha wee bibi šŸ˜‚šŸ˜‚
Basi tunaacha ulevi ili tuwe na sauti nyororo
Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.

Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.

Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
 
Haujasikia sauti yangu wewe[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.

Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.

Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
Sawa bibi tumesikia, tutayafanyia kazi 😜
 
Pateni usingizi wa kutosha, mle mboga na matunda kwa wingi.

Asubuhi kabla hujala kitu unaanza na matunda laini laini, kama avocado, mapapai, matango kidogo, vipande vya nazi, fresh orange juice. Fanya hiyo ndiyo chakula yako ya kufunguwa kinywa.

Pombe siyo ustaarabu ni ushenzi.
Mkuu ukizaliwa na sauti nzito ukitumia ushauri wako sauti inaweza kuwa nzuri.
 
Kizazi cha snapchat na photo lab huwa kinajua kulegeza sauti wakati wa kuomba hela tu!
 
Back
Top Bottom