Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Ntupie basi kuleeee nichukue tuition 🤗Video ipo, tena imerekodiwa leo leo!!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntupie basi kuleeee nichukue tuition 🤗Video ipo, tena imerekodiwa leo leo!!🤣🤣
Yani unadai chenji ya afkumi halafu uongee Kama Wema Sepetu?🤣🤣🤣 Makonda wenyewe wa Buza? Lazima utoe sauti flani hivi ya kimtoto wa Mbwa🤣🤣🤣Hapo lazima ustaarabu uharibike na konda atashangaa huyu ni ke kweli? 🤣🤣🤣
Mimi Mars ana sauti nzito kama yako, mbona anaimba fresh tu tena live huwezi jua kabisaYa kienyeji au ya kisasa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenzio nilikuwa naimba nyimbo ya Beyonce, Odo asinipopoe eti, “Wewe kwa hiyo sauti imba za kina Gigy tu!” Nilicheka mpk sio powa
Kwa uzoefu wako bado unahitaji tuition ya vitu vidogo namna hii kweli?Ntupie basi kuleeee nichukue tuition 🤗
🤣🤣🤣 Legeza sauti ukalale njaa🤣Ak
Mwenyewe anageuka aangalie chalii gani hii
🤣🤣🤣 Sauti ya radiShoga nikivurugwa nina base hilooo🤣🤣🤣
Afu nna sauti ya kuombea hela🤣
Mam k umetisha sana mtu wangu[emoji23]Mie nitoe hapo kwenye list yako, Nina sauti nzuri huchoki kunisikiliza....nikisoma Qur'an sasa hadi Baba K ananitunza pesa[emoji1787]
Ila nikivurugwa nna sauti yangu flani hivi[emoji1787][emoji1787]
Bibi atakua ameimba sana qaswida, sina hofu na sauti yakeBibi kwa kuwa wewe una sauti nzuri km ya Bi kiddie umeamua kutuchamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Sina utetezi wowote katika hili, ila uzee dawa🤪
Huenda Kuna vitu sivijui...Dunia Ina mengi hiiKwa uzoefu wako bado unahitaji tuition ya vitu vidogo namna hii kweli?
Hadi zappa unaijua[emoji23][emoji23][emoji23], umetisha sana.Acha kabisaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unavyoimba unajiona Bey huyu hapa, subiri uisikilize sasa utasema mlevi anamuita mhudumu aongoze mzinga mwingine wa Zappa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Anazingua huyo[emoji23]
Huyu mtoa mada anataka tulegeze sauti barabarani🤣🤣🤣🤣Mam k umetisha sana mtu wangu[emoji23]
Huku umechomekea dela vizuri liwalo na liwe, seat yenyewe kuipata umepitia dirishani 🤣🤣🤣Yani unadai chenji ya afkumi halafu uongee Kama Wema Sepetu?🤣🤣🤣 Makonda wenyewe wa Buza? Lazima utoe sauti flani hivi ya kimtoto wa Mbwa🤣🤣🤣
Tujue kabisa tujiandae....uliona yule aliongelea uvungu..nikasema basiiiii🤣🤣🤣
Mkitoka kwenye sauti mnahamia wapi?
Ko unanishauri vipi? 🤣🤣🤣Mimi Mars ana sauti nzito kama yako, mbona anaimba fresh tu tena live huwezi jua kabisa
Fanya jitohada za kutengeneza sauti, halafu uitumie vizuri then lete mrejesho!!Huenda Kuna vitu sivijui...Dunia Ina mengi hii
Hawana jema hawa sio wa kuwatilia maanani!!Tujue kabisa tujiandae....uliona yule aliongelea uvungu..nikasema basiiiii
Anaringa kweli 🤣🤣Bibi atakua ameimba sana qaswida, sina hofu na sauti yake