Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂🤣🤣🤣
Mhudumu niitie na wa jikoni walevi wote wanageuka afu wanaona pisi ya kwendea, shida ipo kwenye sauti!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🤣🤣🤣
Mhudumu niitie na wa jikoni walevi wote wanageuka afu wanaona pisi ya kwendea, shida ipo kwenye sauti!!
Tumekuwa dada zake Selemani 🤣🤣🤣Mipombe nyinyi, mishisha nyinyi, mirungi nyinyi, mibangi nyinyi. Hizo sauti nzuri zibakie wapi?
Usisahau na mdalasini wa unga tumixie humo kwa asali [emoji1787]
Unajitetea 🤣🤣🤣Nani kasema hizo habari, wazee wanakula na kunywa vizuri, ni shughuli moja ya nguvu inakuweka huru hadi baada ya wiki.🤪💪
😂😂😂Tumekuwa dada zake Selemani 🤣🤣🤣
Zoezi linaanza lini? Me nishachoka na hii sauti 🤣🤣🤣😂😂Kweli ndugu
😁😁😁Mipombe nyinyi, mishisha nyinyi, mirungi nyinyi, mibangi nyinyi. Hizo sauti nzuri zibakie wapi?
Hatareee 🤣🤣🤣
Tuanze hata kesho asubuhi 😀😀😀Zoezi linaanza lini? Me nishachoka na hii sauti 🤣🤣🤣
Sina utetezi wowote katika hili, ila uzee dawa🤪Unajitetea 🤣🤣🤣
Mnhh, simjuwi huyo selemani na dada zake.Tumekuwa dada zake Selemani 🤣🤣🤣
Na tukizipata hizo sauti km tumekabwa na mwiba wa samaki ole wao, waje waseme hatutaki wanawake weusi na wafupi na wenye sura na miguu ya baba zao 🤣🤣🤣Tuanze hata kesho asubuhi 😀😀😀
Basi yasitishwe na sauti zetu za BurnaboyBadili mwelekeo, majoka ya kibisa yale mzee kabisa bado yanang'ata sana🤣
Kwani inawasha shogaanguZoezi linaanza lini? Me nishachoka na hii sauti 🤣🤣🤣
We umekaa na wazaramo sauti yakumtoa nyoka pangoni utaipatia wapi ....... njoo chuga wenzako kaskazini wenzako tunafaidiHuo ndio ukweli najaribu kusikiliza sauti za wanawake wa nchi zingine, ukweli sauti zao nzuri sana sana, ila hapa Tanzania na East afrika nzima yaani kushuka South kwa Africa kuanzia jangwa la sahara, sijaona.
Hapa Tanzania ndio usiseme zaidi kubana pua tu na kujifanyisha ila kwa ukweli hawana sauti nzuri ya kuzungumza, yaani hata mazungumzo ya kawaida tu hakuna uvutiaji na ndio ukaona hakuna muendelezo mnazungumza yanaisha.
Aloo kuna wanawake wana sauti nzuri utapenda uzungumze nao kutwa au hata kuwasikiliza basi unafuraha ya moyo.
Hawa wetu unaweza hata ukafunga redio au TV.
Unafikir yataisha haya 😀😀😀watakuja na jipyaNa tukizipata hizo sauti km tumekabwa na mwiba wa samaki ole wao, waje waseme hatutaki wanawake weusi na wafupi na wenye sura na miguu ya baba zao 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Ushawahi kumpa Konda elfu 10, chenji hajarudisha halafu anakudai tena? Kuna sauti flani hivi ya kupambania chenji akukumbuke🤣🤣🤣😂😂😂Ukivurugwa sauti inabadilika
Mimi zamani nikiongea walikuwa wananiambia sauti km wema Yani saut nzuri ya kubembeleza ,ukali wa maisha saut imekuwa ya kingwendu usiombe unikute kazini nimevurugwa 😂😂😂
Bibi mbona hiyo comment yako ipo kwenye nyimbo ya Mbosso 🤣🤣🤣Mnhh, simjuwi huyo selemani na dada zake.
🤣🤣kiongozi una sauti zege nn😂😂😂mada imenigusa
Nimeagiza mayai trey na asali ya nyuki wadogo😆
Mzee unajipigia debe 😀😀😀Nani kasema hizo habari, wazee wanakula na kunywa vizuri, ni shughuli moja ya nguvu inakuweka huru hadi baada ya wiki.🤪💪