Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

They call me Burna,umesahau lips mbaya pia wanaoongoza wanazidiwa Hadi na mamen malipo stick yanawafanya wawe na lips mbaya na milips inakuwa mikubwa,
 

Nafikiri unazungumzia Lafudhi.

Kwa maana Lafudhi ndio huathiri uzuri wa Sauti.

Sio rahisi Kwa Mwanamke aliyeathiriwa na lugha za kikabila ukasikia anatoa Sauti tamu na nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…