Bora mjiapange la sivyo itakula kwenuTukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
Wewe basi utakua UNAJICHUBUA SANA. Nyuzi za nyuma umewahi kujinasibu kuwa wewe ni mweupe...Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
Watu mnapaniki kwa vitu vidogo sana. Hata hamjiongezi, rais mnayedai anawabagua wanawake weusi mke wake ni mweusi na kaishi nae kwa miaka karibu 30+...
Watu mnapaniki kwa vitu vidogo sana. Hata hamjiongezi, rais mnayedai anawabagua wanawake weusi mke wake ni mweusi na kaishi nae kwa miaka karibu 30+...
Hivi ni ujinga wa bavicha au ujinga wa bawacha unawatafuna?
Mhamasishane huko kwenye vikoba vyenu sasa.Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
Nimempenda huyu[emoji3059][emoji3059][emoji3059]