Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Karibu rafiki anguNaomba uwe rafikiangu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu rafiki anguNaomba uwe rafikiangu!!
Kama unatambua kuwa Magufuli, kama Rais, anapaswa kutenda na kusema yaliyo sahihi, iweje mropokaji wa tuhuma, uzushi, unafiki na majigambo ya dharau yasiyo na tija, apewe dhamana ya kuongoza taifa hili?Magufuli ni Rais wa nchi.Magufuli siyo raia wa kawaida.Kila analofanya na kuongea linafuatiliwa dunia nzima na watu tofauti tofauti pamoja na mashirika tofauti tofauti na kutafsiriwa tofauti tofauti kwa namna yake yenye athari kwa nchi ya Tanzania.Kila analofanya na kuongea linawakilisha watanzania.
Utani wa Rais unatakiwa kuwa tofauti na utani wa mtu wa kawaida.Utani wa Rais unatakiwa kuwa na vimelea vya kujenga zaidi Taifa na siyo vimelea vya kubomoa Taifa na ubaguzi.Magufuli pamoja na ninyi watu wake hamuyajui yote hayo.Magufuli hajui yote hayo kwa sababu ni country bumpkin.
Suala na kuingia barabarani siyo suala la ajabu kwa sababu unajua,watu wanajua,ninajua na kila mtu anajua kuwa tume ya Taifa ya uchaguzi pamoja na vyombo vya dola haviko tayari kutenda haki katika uchaguzi huu.Walichosema chadema ni kwamba kwa kuwa vyombo hivyo vya uchaguzi vinaibeba CCM waziwazi kama ikitokea haki isipotendeka wataingia barabarani kudai haki yao.
Sasa hapo la ajabu ni lipi?Kama Magufuli ameweka mihimili yote mfukoni kwake ikiwa ni pamoja na mahakama unataka chadema watumie njia ipi kudai haki yao kama watadhulumiwa?
Umeelewa nilichoandika hapo juu kweli?!Nimekuambia kwa sasa hivi Maguguli ni Rais wa nchi ambae anawakilisha Tanzania kimataifa kwa hiyo lolote analoongea linawakilisha nchi kwa hiyo hapaswi kuropoko hovyo hovyo.Kama unatambua kuwa Magufuli, kama Rais, anapaswa kutenda na kusema yaliyo sahihi, iweje mropokaji wa tuhuma, uzushi, unafiki na majigambo ya dharau yasiyo na tija, apewe dhamana ya kuongoza taifa hili?
Kwa kuwa kiwango chako cha fikra unakifsiri kwa chuki ya kisiasa, kwa sababu unazozijua mwenyewe, sikutegemea jibu la hoja zangu tofauti.Mimi ni raia wa kawaida.Magufuli siyo raia wa kawaida.Magufuli ni Rais wa nchi.Kila analofanya na kuongea linafuatiliwa dunia nzima na watu tofauti tofauti pamoja na mashirika tofauti tofauti na kutafsiriwa tofauti tofauti kwa namna yake yenye athari kwa nchi yetu ya Tanzania.Kila analofanya na kuongea linawakilisha watanzania.
Utani wa Rais unatakiwa kuwa tofauti na utani wa mtu wa kawaida.Utani wa Rais unatakiwa kuwa na vimelea vya kujenga nchi zaidi na siyo vimelea vya kubomoa nchi na ubaguzi.Magufuli pamoja na ninyi watu wake hamuyajui yote hayo.Magufuli hajui yote hayo kwa sababu ni country bumpkin.
Cheupe dawa wahenga walinenaNawapenda weusi mpaka homainakuja,sijawai fall in love na mwanamke mweupe kamwe,mweusi nachanganyikiwa
Mgombea mwenye akili timamu hutumia utani wenye vimelea vya kujenga nchi,vimelea vya kuunganisha watu,vimelea vya kujenga utaifa,vimelea vya kujenga uhuru wa watu na utani wenye vimelea vya kujenga haki na usawa miongoni mwa watu wake.Utani kama huu hujenga nchi.Kwa kuwa kiwango chako cha fikra unakifsiri kwa chuki ya kisiasa, kwa sababu unazozijua mwenyewe, sikutegemea jibu la hoja zangu tofauti.
Wataalamu wa sayansi ya jamii na wanasaikolojia wanajua athari na faida za utani. Kwa mila na desturi za kiafrika, hasa wabantu wa Tanzania, maneno na matendo ya utani hutumika sana kwenye majumuiko ya watu kufikisha ujumbe.
Hivyo basi hiyo misemo ya utani ndiyo itampa kura nyingi mgombea yeyote yule atakayeitumia kwa wakati na walengwa sahihi. Ila mgombea ambaye anatisha wapiga kura, anatumia lugha yenye maneno ya dharau, kudharilisha, majivuno, uwongo, uzushi, hakika atavuna anachopanda.
Kama kawaida sikutegemea lugha ya kistaarabu kutoka kwako kuwakilisha hoja zenye uzito wa kifikra. Ni lugha hiyo inaziba nafasi finyu aliyo nayo huyo mgombea kupata ushindi.Mgombea mwenye akili timamu hutumia utani wenye vimelea vya kujenga nchi,vimelea vya kuunganisha watu,vimelea vya kujenga utaifa,vimelea vya kujenga uhuru wa watu na utani wenye vimelea vya kujenga haki na usawa miongoni mwa watu wake.Utani kama huu hujenga nchi.
Mgombea mbumbumbu na kichaa hutumia utani wenye vimelea vya kugawa watu,utani wenye vimelea vya kubagua watu wake,utani wenye vimelea vya kujenga chuki ndani ya nchi yake,utani wenye vimelea vya ukabila,udini na ukanda.Utani kama huu hubomoa nchi.
Magufuli ni mgombea mbumbumu na mwenye matatizo ya akili(psychiatric) kwa sababu anatumia utani wenye vimelea vya ubaguzi wa rangi,chuki,udini,ukabila na ukanda.Katika kampeni zake anatumia utani huu unaobomoa nchi badala ya kutumia utani unaojenga nchi.
Unaelewa tofauti kati ya fact na lugha isiyo ya kistaarabu?Kumwita mtu anaefanya mizaha na mambo ya ubaguzi wa rangi,ukabila,udini pamoja na ukanda kuwa ni mbumbumbu hiyo ni fact au ni lugha isiyo ya kistaarabu?Unataka mtu anaefanya mizahaa na mambo ya ubaguzi wa rangi,udini pamoja na ukabila nimwite kuwa ni mtu mzuri sana,mwenye akili na mstaarabu?Kama kawaida sikutegemea lugha ya kistaarabu kutoka kwako kuwakilisha hoja zenye uzito wa kifikra. Ni lugha hiyo inaziba nafasi finyu aliyo nayo huyo mgombea kupata ushindi.
Asante sana jamaniKaribu rafiki angu