Wanawake weusi tar 28 October tuna jambo letu

Wanawake weusi tar 28 October tuna jambo letu

Tumechoka kupigwa madogo jukwaani, tena kama mimi nilivyo black kuniona hadi utumie tochi hata kama ni mchana, nina hasira yani usiku wankuamkia 28 silali nisije nikapitiwa usingizi nikasahau kwenda kwenye boksi la maamuzi
Hebu njoo pm tuyajenge,maana Mimi nilikua natafuta weusi,black is beautiful
 
Nawapenda weusi mpaka homainakuja,sijawai fall in love na mwanamke mweupe kamwe,mweusi nachanganyikiwa
Mkuu wa nchi hatupendi kabisa, anatuona kama nuksi, tukimpa mitano anaweza toa amri kwamba kwenye huduma muhimu za kijamii wahudumiwe wanawake weipe tu, weusi tuhamia uganda
 
Mkuu wa nchi hatupendi kabisa, anatuona kama nuksi, tukimpa mitano anaweza toa amri kwamba kwenye huduma muhimu za kijamii wahudumiwe wanawake weipe tu, weusi tuhamia uganda
Embu niambie alisemaje jamani? Na kwa nini hatupendi?
 
Embu niambie alisemaje jamani? Na kwa nini hatupendi?
Hahah hi amu na wewe ni mweusi kama gari ya mkaka? 28 octiber usikose

Alisema ati mwanamke mweipe akienda ofisini kwake anamuhudumia wa kwanza hata lama kuna weusi waliotangulia

Kwa kifupi weupe wana haki kuliko sisi wasauzi sudani
 
Tumechoka kupigwa madogo jukwaani, tena kama mimi nilivyo black kuniona hadi utumie tochi hata kama ni mchana, nina hasira yani usiku wankuamkia 28 silali nisije nikapitiwa usingizi nikasahau kwenda kwenye boksi la maamuzi
Kawaambia ukweli ,shida iko wapi?
 
Tumechoka kupigwa madogo jukwaani, tena kama mimi nilivyo black kuniona hadi utumie tochi hata kama ni mchana, nina hasira yani usiku wankuamkia 28 silali nisije nikapitiwa usingizi nikasahau kwenda kwenye boksi la maamuzi
Weusi wa namna hiyo ndiyo ugonjwa wangu, karibu Pm tujenge nchi.
 
Hahah hi amu na wewe ni mweusi kama gari ya mkaka? 28 octiber usikose

Alisema ati mwanamke mweipe akienda ofisini kwake anamuhudumia wa kwanza hata lama kuna weusi waliotangulia

Kwa kifupi weupe wana haki kuliko sisi wasauzi sudani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msukuma huyu jamani
 
Back
Top Bottom