Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Nchi ishajengwa mkuu, jaribu pengine🤣🤣🤣Weusi wa namna hiyo ndiyo ugonjwa wangu, karibu Pm tujenge nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ishajengwa mkuu, jaribu pengine🤣🤣🤣Weusi wa namna hiyo ndiyo ugonjwa wangu, karibu Pm tujenge nchi.
Hivi Dina wewe nae ni mkaa au unanogesha tu siredi yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo ni tume tu ila tukapige kura za kutosha
Si ndio maana na sisi tunataka tumwambie ukweli october 28? Ngoma droo usiwe na wasiwasiKawaambia ukweli ,shida iko wapi?
Unaijua camera mama ilivyo rangi yake?Hivi Dina wewe nae ni mkaa au unanogesha tu siredi yetu
🤣🤣🤣 Naijua, basi sasa nimekuelewaUnaijua camera mama ilivyo rangi yake?
Ahsante kwa kumheshimu mjenga nchi [emoji120][emoji120]Nchi ishajengwa mkuu, jaribu pengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ipo siku tutaijenga mimi na wewe...tatizo ni tume huru tu [emoji16][emoji16]Nchi ishajengwa mkuu, jaribu pengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shughulika na katiba mpya kwanza, halafu tume huru, mpaka huo mchakato umalizike nitakua na miaka 80Ipo siku tutaijenga mimi na wewe...tatizo ni tume huru tu [emoji16][emoji16]
Eeeh mimi blackMama mchungaji kumbe wewe ni mweusi pia
Ni kweliWanyakyusa wengi ni weusi kwa rangi !
Naomba uwe rafikiangu!!Eeeh mimi black
Na wewe ni wawapi mpendwa?Wanyakyusa wengi ni weusi kwa rangi !
Dunia inaenda kasi Sana brotherNakucheki tu
HakikaDunia inaenda kasi Sana brother
Na wewe ni wawapi mpendwa?
Wapi na wapi mpendwaMchanganyiko maalum!
Amenisikitisha Sana, Sijui Janet wake na rangi yake nzuri kamkosea nini mpaka awachukie weusi.Mkuu wa nchi hatupendi kabisa, anatuona kama nuksi, tukimpa mitano anaweza toa amri kwamba kwenye huduma muhimu za kijamii wahudumiwe wanawake weipe tu, weusi tuhamia uganda