Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Au siyoTobaaaa sjawahi kua cheupe mimiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au siyoTobaaaa sjawahi kua cheupe mimiii
Picha la kutisha.Hii black hii
Ukisikia Africa ni rangi nyeusi bro....wewe wa wapi mwenzangu!?🤣🤣🤣🤣🤭Picha la kutisha.
OverKumekucha tena
Hata akikanusha hutaamini😂🙌🏾eti Half americanAjitokeze mtu akanushe tuone😂
Kuna niniHata akikanusha hutaamini😂🙌🏾eti Half american
ushuhudaKuna nini
Upi huoushuhuda
Mkuu, ni kawaida binadam kutofautiana machaguo.Ukisikia Africa ni rangi nyeusi bro....wewe wa wapi mwenzangu!
Lakini usisitize kana kwamba wewe ni mturukiMkuu, ni kawaida binadam kutofautiana machaguo.
Mkuu usichukulie serious sana kila jambo.Lakini usisitize kama kwamba wewe ni mturuki
Uzuri wa kitu upo machoni pa muangaliaji.Mie sielewagi watu wanaposemaga eti black beauty wee uliona wapi kitu cheusi kikawa beautiful.
Kutana na mrembo rangi ya chai ya maziwa evwa weee...hatariii