Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Ngumu lkn ndio ukweli.
Ambao bado pambaneni mzae na mzazi mtayemuoa.
 
Wanalelewa chini ya uangalizi wa mama zao,
Siyo housegirl umpe nafasi ya umama.
Ni jambo gumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
house girl anashinda na mtoto kuanzia asubuhi mpaka saa nne usiku mama ake anaporudi kazini,inafika point housegirl anamjua mtoto kuliko hata wazazi, ukweli unabaki housegirls ndiyo walezi wa watoto katika familia nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwe , abadani mtoto wangu hawezi lelewa mbali na mm kisa mke nita funga ha CCTV camera nikagundua mtoto kafanyiwa ubaya na mama kambio shughuli yake ni zaidi ya gereza la giterama Rwanda
 
Sio kweli mbn mm nina kaa na mtoto wa mume wangu na nina mpenda kwa moyo wote!!

Sent using i phone x
 
Muhimu ni kumpeleka boarding school tu kuanzia primary hadi secondary akirudi ukubwani atakua askari tosha kupambana na mzunguko wa maisha


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Mnanipa wakati mgumu kuhusu hawa watoto,
Nina mtoto nje sasa sijui lipi na lipi nifanye nimebaki tu kumtafutia dada wa kumsaidia mama yake akiwa kazini ila sitaki akakae kwa bibi yake upande wa ex maana na yeye hataki nimchukue wala akakae kwa Mama yangu..... So ngoma droo sijui? [emoji437][emoji290]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhimu ni kumpeleka boarding school tu kuanzia primary hadi secondary akirudi ukubwani atakua askari tosha kupambana na mzunguko wa maisha


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Boarding likizo atakua anaenda kwa mjomba au kwa bibi kipindi chote hicho mkuu?
 
Mnanipa wakati mgumu kuhusu hawa watoto,
Nina mtoto nje sasa sijui lipi na lipi nifanye nimebaki tu kumtafutia dada wa kumsaidia mama yake akiwa kazini ila sitaki akakae kwa bibi yake upande wa ex maana na yeye hataki nimchukue wala akakae kwa Mama yangu..... So ngoma droo sijui? [emoji437][emoji290]

Sent using Jamii Forums mobile app
ulifikia maamuzi gani comrade?
 
Back
Top Bottom