Wanawake wote wa jf tukutane hapa

Kuna mwanaume.anaetaka mtoto kwanza?
Mwanaume asiyetaka mtoto atakuwa na mental illness yaani huyu siyo ila kwa nyie wa kike hamtaki watoto kabisa sijui ooooh sijajipanga mara hadi niolewe nyie wanaume hamwaminiki masababu chungu nzima
 
Ngoja nikae hapa hapa nichungulie pengine mnaelezana namna ya kutuwekea limbwata bora nijkinge mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…