Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

Tena kama hao waarabu wake wanatafutiwa na wazee wao na si mke lazima awe ana background nzuri husizani kama wanaokotana.

Rukaruka tu ila wanaume wanafanya homework kabla ya kuoa, wewe kitembeze kichakazwe na wahuni then uone. Kuna mwanamke wakumaliza nyege na kuoa,sasa utaamua uwe kundi gani.

Mwanaume kwa Mke wake anajali purity.

Zamani si ndio ilikuwa hatari,binti kuolewa ilikuwa lazima awe na bikra,wacheki familia yao kama inajituma na sio wavivu, wanacheki mpaka magonjwa ya ukoo ndio wanamruhusu kijana wao kutoa mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…