BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Are you rich..? Or broke as f****..?Me sitaki masikini 😹😹
I'll marry for money please🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you rich..? Or broke as f****..?Me sitaki masikini 😹😹
I'll marry for money please🙏
Wapi ushahidi na siyo generalization. Mbona mtume aliolewa sorry oa mama mkwasi?Mwanamke mwenye haki ya kutaka mwanaume tajiri ni wale bikra tuu.
Kumbe bado slid🤗Na Mimi pia Nina haki
Ngoja tuoneKumbe bado slid🤗
Naomba nizindue dada mzuri 😋
Ni kweli mimi nime comments kutokana na huyo mwenye amesema matajiri wanataka bikira that is not trueMallerina kadogo2 ila unajua moja ya complication ya nyie wanawake kutaka kuolewa na wanaume matajiri inakuja wapi.
Wanaume wengi matajiri hawana muonekano mzuri unaowavutia wanawake, umeolewa na mume tajiri ila huna hisia nae sababu mfupi, ana kitambi, sura mbaya, over age..
Unazoea lifestyle la kitajiri, ila baada ya mda nature kicks in, unahitaji mwanaume unaevutiwa nae kingono, hapo unafanyaje zaidi ya kuungulia ndani, kimoyomoyo unaona aibu hata kuongozana na mmeo
Azizi K amewaonyesha mfano kaoa single mama mwenye watoto wawili tena baba tofautiMwanaume awe tajiri au asiwe tajiri sifa ya kwanza wanacho angalia ni purity.
Mwanaume target yake ya kwanza ni bikra akikosa bikra basi apate mwanamke mwenye low body counts.
Sio hivyo hata kwa dada zetu wanaume tunachukia pindi dada zetu wakiwa hawaja tulia na sio hivyo hawa single mother watoto zao wa kiume huwa wanachukia na kumind pindi wakigundua, bi mkubwa wake anagawa hovyo.
Siku zote MWANAUME ANAJALI BIKRA/LOW BODY COUNTS/PURITY,kiasili ndio ipo hivyo, kufuli linalo funguliwa na funguo moja ni la maana sana kwa mwanaume kuliko kufuli linalo funguliwa na kila funguo.
Aziz K ndio mfano wa matajiri? Halafu umewazungumzia wachezaji, hata huko alipotoka alizalisha akaacha,tunza risit uzuri JF haisahau.Unatamani mwanaume asiyecheat mahali unajitolea mwenyewe? Mwenye maamuzi ya ndoa ni mwanaume na ndio maana yy ndiye huamua awe nani.Azizi K amewaonyesha mfano kaoa single mama mwenye watoto wawili tena baba tofauti
Nachotaka kusema test ya mwanamke kila mwanaume anayo ya kwake anayoyataka
Kama mlivyo ninyi mnatamani kupata bikra na sisi tunatamani kupata mwanaume asiechit.. Hakuna mwanamke anaependa ku share mume lakini ndio nature imechukua nafasi
I'm not Rich but I have a taste for rich menAre you rich..? Or broke as f****..?
Yan huyo mwanaume labda umloge, unakuta engine imechoka balaah zen unatakwa mwanaume tajiri… aaathubutu….Me sitaki masikini 😹😹
I'll marry for money please🙏
Labda bikra y back doorKama una bikra bc upo sahihi 100%
Upumbavu wa aziz kii sio sababu ya kuhalalisha umalaya wa mobetto. Azizi kii atabaki kuwa mpumbavu na mobetto atabaki kuwa mfano mbaya kwa mabinti wadogo(single maza wa watoto ambao kila mmoja ana baba ake iyo ni sifa chafu sana kwa maadili yetu).Azizi K amewaonyesha mfano kaoa single mama mwenye watoto wawili tena baba tofauti
Nachotaka kusema test ya mwanamke kila mwanaume anayo ya kwake anayoyataka
Kama mlivyo ninyi mnatamani kupata bikra na sisi tunatamani kupata mwanaume asiechit.. Hakuna mwanamke anaependa ku share mume lakini ndio nature imechukua nafasi
Kitj sealed eeh....haya mie nina million 40 nataka nio je kitu sealedNa Mimi pia Nina haki
Shida inakuja pale mwanaume unapooa Mwanamke kwa sababu y Utajiri wao.Bora umenyoosha mkuu....mada kibao humu wanaume wakisisitiza usioe mwanamke maskini
📌📌📌Huna akili!!!Kikubwa wanaume tujitahidi kama ulikataliwa basi uvitafute uwe navyo siku ukikutana na ex wako bila hivyo tutaendelea kukimbia njia na kujificha kwenye migongo ya marafiki