Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

Then in your jouney for searching a rich husband don't blame men who refuse to sponser your lifestyle, insteady blame your broke father and mother, because those are the one who failed you.
My parents choice can never be mine sawa
She chose a broke guy so neither do I
I have taste for rich men
 
Ushawahi kuona tajiri anaoa bikra

Yaani matajiri wengi sana wanaoa wanawake hao ambao ninyi mnawaponda na baadae mnakuwa vibenteni vyao 🤣🤣
Mallerina kadogo2 ila unajua moja ya complication ya nyie wanawake kutaka kuolewa na wanaume matajiri inakuja wapi.

Wanaume wengi matajiri hawana muonekano mzuri unaowavutia wanawake, umeolewa na mume tajiri ila huna hisia nae sababu mfupi, ana kitambi, sura mbaya, over age..

Unazoea lifestyle la kitajiri, ila baada ya mda nature kicks in, unahitaji mwanaume unaevutiwa nae kingono, hapo unafanyaje zaidi ya kuungulia ndani, kimoyomoyo unaona aibu hata kuongozana na mmeo
 
Mallerina kadogo2 ila unajua moja ya complication ya nyie wanawake kutaka kuolewa na wanaume matajiri inakuja wapi.

Wanaume wengi matajiri hawana muonekano mzuri unaowavutia wanawake, umeolewa na mume tajiri ila huna hisia nae sababu mfupi, ana kitambi, sura mbaya, over age..

Unazoea lifestyle la kitajiri, ila baada ya mda nature kicks in, unahitaji mwanaume unaevutiwa nae kingono, hapo unafanyaje zaidi ya kuungulia ndani, kimoyomoyo unaona aibu hata kuongozana na mmeo
Unataka nani apate hao rich men kama sio Mimi.....
I'm ready to cry in Dubai than in Africa pls
Kama Hana sura tutatumia yangu pesa tutumie zake
 
My parents choice can never be mine sawa
She chose a broke guy so neither do I
I have taste for rich men
You didn't understand my comment. I agree with you, it's your choice. What i mean is, in the journal to fullfil your choice don't blame another men who came to hit and run or refuse to sponser the extravaganza life style you demand, insteady blame your broke father who failed to give you that life you are searching through sucking community cocks and fvcking with strangers
 
I want a man who is already focused not waiting me so he focus
Dada twende tu na kiswahili,its clear haupo vizuri kwenye English. Grammar yako inasema kila kitu.

Turudi kwenye mada,unataka mwanaume ambaye tayari yupo focused ukimaanishaje?

Kwan kuna mwanaume utakutana nae halafu asiwe focused?
Me nadhani wewe ni muoga wa maisha,na ulichomaanisha ni unataka ukute mwanaume ambaye tayari ameshajikamolisha,ana pesa,nyumba,magari, biashara ndio focus yenyewe hiyo unayomaanisha.

Sasa mwanaume ukishamkuta kafikia hatua hiyo unadhani ni wewe pekee yako ndie utakuwa unamuwania awe wako?😂😂

Hapo utakutana na wadangaji wenzako kama 50 hivi. Me nadhani zingatia jambo moja, kuwa tamaa ni mbaya na ndio anguko la kila mtoto wa kike karne hii.
 
Umeongea kama baba anaekwazina nabtabia za mwanae 😆😆😆 et kwanini uchakazwe na bodaboda si heri mkaanze maisha😆👐👐 ... sawa tumekusikia baba tutatekeleza u liotuelekeza sisi ni wasikivu sema tatizo sio kujitafuta tatizo lingine baba akili unakuta mtu hawazi nje ya Box utatengeneza maisha na mtu anaewaza hapo hapo?! Kila jambo utaskia itajulikana likitokea kweli?
 
Unachanganya Umasikini na maisha ya kipato cha kawaida. Kwa Tanzania masikini tafsiri yake ni hauna sehemu ya kulala yaani pahala pa kuishi,hauna mavazi,chakula shida, mawasiliano shida.

Wanaume wanaowakwepa au kuwaletea mapozi ni anakaa nyumba ya kupanga ya chumba sebule au chumba kimoja ila master bedroom,ana usafiri pengine ni boda boda au baby walker kama IST au Passo, anakipato cha kuanzia laki 5 au 7 kwa mwenzi na hapo anaweza kuwa na maokoto mengine ya katikati ya mwezi.

Huyu kijana wao humuona bado sio standard kwao. Wanataka ambaye anatokea familia za kishua baba ana pesa mama anapesa,wanamiliki magari 10 yamepaki hapo nje. Myumba zaidi ya idadi ya watoto kwenye familia, kijana awe amesoma nje ya inchi na kadhalika,awe na maokoto ya mwezi kama milioni 3 au 5 kwenda juu. Familia yake wawe watu wa connection za kimafanikio.

Sasa kwa style hii unategemea kuna kuolewa kwa wakati kweli? Wanamtafuta mtu ambaye kukutana nae ni nadra sana na wakikutana nae then kuna wanawake zaidi ya buku wanamfukuzia wapate chance kwake.
Hebu ngoja kwanza unajua hata ww bado unaongelea matajiri😆😆😆

Mleta mada anaongelea mtu ambae anajitafuta mwingine hata kupanga hajapanga! Au kapanga getto la giza au umeme tu ana godoro na ndoo 2 maisha bado papatupapatu hata account bank hana mana hana cha k
 
Hebu ngoja kwanza unajua hata ww bado unaongelea matajiri😆😆😆

Mleta mada anaongelea mtu ambae anajitafuta mwingine hata kupanga hajapanga! Au kapanga getto la giza au umeme tu ana godoro na ndoo 2 maisha bado papatupapatu hata account bank hana mana hana cha k
Umasikini ni hali ya kiuchumi ambayo ukiwa hauitaki unaweza kuibadili na kuwa aidha mtu wa kipato cha chini,cha kati,cha juu au tajiri.

Aina ya maisha uliyosema hapo ni ya mtu ambaye amejijua kuwa yupo kwenye umasikini halafu amechagua kuishi ndani yake yaani awe masikini na ndio maisha atakuwa nayo.

But mtu niliyemuongelea ni aliyechagua kubadili hali yake ya kiuchumi ili aishi kawaida yaani kipato cha kawaida ambayo ni hali nzuri ila wanawake huwa wanahisi ni masikini.
 
Umasikini ni hali ya kiuchumi ambayo ukiwa hauitaki unaweza kuibadili na kuwa aidha mtu wa kipato cha chini,cha kati,cha juu au tajiri.

Aina ya maisha uliyosema hapo ni ya mtu ambaye amejijua kuwa yupo kwenye umasikini halafu amechagua kuishi ndani yake yaani awe masikini na ndio maisha atakuwa nayo.

But mtu niliyemuongelea ni aliyechagua kubadili hali yake ya kiuchumi ili aishi kawaida yaani kipato cha kawaida ambayo ni hali nzuri ila wanawake huwa wanahisi ni masikini.
Anyway; tujikite kwenye mada.
Thanks
 
Dada twende tu na kiswahili,its clear haupo vizuri kwenye English. Grammar yako inasema kila kitu.

Turudi kwenye mada,unataka mwanaume ambaye tayari yupo focused ukimaanishaje?

Kwan kuna mwanaume utakutana nae halafu asiwe focused?
Me nadhani wewe ni muoga wa maisha,na ulichomaanisha ni unataka ukute mwanaume ambaye tayari ameshajikamolisha,ana pesa,nyumba,magari, biashara ndio focus yenyewe hiyo unayomaanisha.

Sasa mwanaume ukishamkuta kafikia hatua hiyo unadhani ni wewe pekee yako ndie utakuwa unamuwania awe wako?😂😂

Hapo utakutana na wadangaji wenzako kama 50 hivi. Me nadhani zingatia jambo moja, kuwa tamaa ni mbaya na ndio anguko la kila mtoto wa kike karne hii.
If you don't understand English better zip your mouth😹😹😹😹
 
You didn't understand my comment. I agree with you, it's your choice. What i mean is, in the journal to fullfil your choice don't blame another men who came to hit and run or refuse to sponser the extravaganza life style you demand, insteady blame your broke father who failed to give you that life you are searching through sucking community cocks and fvcking with strangers
Low IQ😂
 
Huo ni ukweli usiopingika,kupuuzia hilo suala,ndo linataka kupelekea kuhalalisha hadi wadada wanaozalishwa kabla ya kuolewa kuwa si kosa kimaadili.Tungebana hapo pa kusisitiza ubikra,maadili yangerudi kama mwanzo.
Mbona zamani waliweza?
Kabisa mkuu
 
Sisi Wanaume hatusumbuki Tena na hao masister duu, tunapanga bajeti vizuri, tunawaingizi mchezoni , tukishamaliza kuwashenyenta siku kadhaa, tuwaacha wakalie lie huko.
 
Wewe mbona unatupangiaga kuamini kua Mungu hayupo Kiranga
Hapana,

Hujanielewa.

Kila mara naandika hapa Kiranga kueleweka ni vigumu sana kwa watu wengi.

Kila mara (hata jana nafikiri) narudiarudia kuandika kuwa imani ni haki ya kikatiba na kiutu iliyo mpaka kwenye "Universal Declaration of Human Rights" tangu December 10 1948. Hiki kitu nakithamini mpaka nimekariri hiyo tarehe.

Nimeandika hapa mara kadhaa hata wiki hii kuwa mimi si mtu wa imani ila nitatetea haki ya mtu yeyote kuamini au kutoamini anachotaka, naelewa hii ni sehemu ya "freedom of conscience".

Nimeandika hapa mimi siamini Mungu na wala si Mkristo, lakini natetea haki ya Wakristo wa Rwanda kuamini wanavyotaka, wasiingiliwe na Rais Kagame aliyetaka Wachungaji wawe na digrii za vyuoni iki kuongiza makanisa.

Freedom of conscience ni haki ya kikatiba na kiutu.

Sasa hapo nimekupangia vipi kuamini Mungu hayupo?

Usichoelewa ni tofauti ya msimamo wangu kuhusu imani (huo hapo juu) na maongezi yangu ya falsafa, mantiki, kutafuta ukweli kuhusu hoja ya kuwepo Mungu.

Hapo kwenyw faksafa si imani, nakuja kwa facts, kwa uthibitisho, kwa ushahidi, kwenye suala la kifalsafa ambalo nimeshasema sina nia ya kumbadili mtu imani yake (kwa sababu tushaona hapo juu imani ni haki ya kikatiba na kiutu, bila kujali ni imani sahihi au si sahihi).

Sasa hapo utasemaje nataka kuwapangia cha kuamini?

Tatizo lako wewe, na watu wengi kama wewe, ni kwamba hamjui kufuatilia hoja kwa nuance na kutenganisha wapi mazungumzo ni ya falsafa, mantiki, uthibitisho, ushahidi, na wapi mazungumzo ni ya imani.

Hujaweza kutenganisha mambo haya mawili.

Ndiyo maana unapata tabu kunielewa.

Kama hata una uwezo wa kunielewa.
 
Asante,umekula lakini? Kuna hii sehemu hapa mikocheni wana chakula kizuri,nikawazia niende siku moja ,kama haitakuwa too much kwako nitafurahi ukinijoin.
Hahaha mambo nnayopenda mm 😆😆 Astagfillulah mikocheni ipi jamani
 
Back
Top Bottom