Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣 kama masikini hawajaachana na waume zao vile!!!! Tafuta pesa bwana upunguze kujielezea.Jiulize kwanini wanawake wa matajiri wakubwa wameachana na wanaume zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 kama masikini hawajaachana na waume zao vile!!!! Tafuta pesa bwana upunguze kujielezea.Jiulize kwanini wanawake wa matajiri wakubwa wameachana na wanaume zao
Pesa kwanza, upendo tutaukuta huko huko🤣🤣kumbe unajua huna, usichague mwanaume bana angalia upendo kwanza
Pesa ndio unatakiwa kuikuta mbele ya safari ili ufurahie upendo.Pesa kwanza, upendo tutaukuta huko huko🤣
Hapanaaaa huu ni upotoshaji🤣Pesa ndio unatakiwa kuikuta mbele ya safari ili ufurahie upendo.
Hahahaha utapigwa ndeke hadi uchakae😅 kugharamia laki 2 ya dates kadhaa ili uliwe sio ishuHapanaaaa huu ni upotoshaji🤣
Start with love, money will come on the way. Choosing money renders you to be a Goldigger.
Vp nawe unayoNa Mimi pia Nina haki
Why thinking you aren’t the girl of his dreams while he choose you? Problem is how you handle the situation during the relationship with that broke guy.I choose a broke guy so.we make money at the end he go choose girl of his dreams? That's your advice
You have money?!Vp nawe unayo
My fear is what if he never gets rich 😂😂😂😂Why thinking you aren’t the girl of his dreams while he choose you? Problem is how you handle the situation during the relationship with that broke guy.
If you always insist that you are only entertaining him and perservering him but some other girl would drop him due to the situations then thats a recipe for disaster.
This is a worst mistake that most women do to broke men yet they end up complaining that they are left with men whom they struggled with.
Go for the rich but prepare your butts for some heat.My fear is what if he never gets rich 😂😂😂😂
Ayyyy acha niendee Rich guys siwezi huko
Iko nimejipataYou have money?!
I'm readyGo for the rich but prepare your butts for some heat.
Kuna mzee mmoja huwa anapenda washel hizo nimpe namba yako? Ni engineer mkubwa tu pesa ipo.I'm ready
At least huyo we have something in common to talk aboutKuna mzee mmoja huwa anapenda washel hizo nimpe namba yako? Ni engineer mkubwa tu pesa ipo.
Mm n tajiri ila bado huo utajiri kunifikia mikononi mwanguHata bibi alikua binti TUSITISHANE 😹😹
Kwanza nyie wenyewe sio matajiri 🤣
Wanawake bikra hamna, na pesa vilevile hamna 😹
Ndio maana sisi wanaume za watu tunapewa tu bila hiyana.Wanaume matajiri wengi tayari ni wame za watu sasa wanawake wanaposema wanataka kuolewa na wanaume matajiri manaake wanataka kuolewa na waume za watu
🤣🤣🤣🤣🤣 usitutishe bwanaHahahaha utapigwa ndeke hadi uchakae😅 kugharamia laki 2 ya dates kadhaa ili uliwe sio ishu
Tamthilia zimewaaribu akili. Wanavyoona kwenye drama za wakorea kijana wa 30+ ni CEO wa kampuni, wanafikiri na ground hali ipo hivyo hivyoImani yao haina shida shida hawajui juu ya kile wanachokiamini, maana imani zipo za aina mbili Imani sahihi na imani Potofu sasa wao wapo kwenye imani potofu
Kwanini ni potofu, ukija kwenye uhalisia vijana ambao wanatakiwa kuoa ni wale wenye kuanzia miaka 30 na kuendelea hata akianzia 25 sio mbaya
Sasa vijana wa lika hili kwa uhalisia wa maisha ya sasa asilimia 80% hawajajipata kimaisha yaani sio matajiri, lakini wao ndio wanatakiwa kuoa
Na wanawake hawataki kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri, hii inasababisha wanawake waanze kusema kuwa kuolewa ni bahati kumbe sio bahati ila wao "HAWATAFUTI WAME, WANATAFUTA WANAUME MATAJIRI" hivi ni vitu viwili tofauti ndio maana huwa nasema wanawake wapumbavu Wanaogopa kuolewa ila wanafurahi kuchezewa, wengi wanaona kuliko kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri ni bora kuendelea kuchezewa tu
Wanaume matajiri wengi tayari ni wame za watu sasa wanawake wanaposema wanataka kuolewa na wanaume matajiri manaake wanataka kuolewa na waume za watu
Kama mwanamke unayejitambua na unayetaka mabadiriko hakikisha hauweki kigezo hiki kama ni kigezo kikuu kwenye kuchagua nani wa kuolewa naye
Achana na misemo ya wanawake wapumbavu wanaosema eti bora kulia ukiwa dubai kuliko kulia ukiwa unakula matembele, Jiulize kwanini wanawake wa matajiri wakubwa wameachana na wanaume zao
Ukiwa haujapitia waliyopitia wanawake wenzio huwezi elewa mpaka siku yakikupata ndipo utaikumbuka ile kauli ya kusema "ni bora ugali na chumvi sehemu yenye amani kuliko wali nyama vitani"
Hao wanaokuchakaza sasa ni matajiri? kwanini usiende kuchakazwa na mume wako wa ndoa, Unataka kuolewa na mwanaume tajiri akati unalalwa na boda boda kwanini usiolewe na huyo boda boda mkaanze kujenga maisha?
Ni wakati wa kubadili mtazamo na kufanya maamuzi yenye msingi sahihi katika safari ya maisha ya ndoa.
Mnaishia kuzalishwa na kutoolewa sababu ya kuiga uamuzi wa wapumbavu wachache wanaowaharibu akili
Ukinichukia nitumie vocha ili niandile ujumbe wa kukusifia kwenye ujinga wako, ila mimi siwezi kutumia bando langu kuandika ujumbe unaosifia ujinga inshort i dont want peace ✌️ 😅😅