Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Bc hao wanawake waelewe hiloUtajiri sio makalio kila mtu anaweza miliki bwashee š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bc hao wanawake waelewe hiloUtajiri sio makalio kila mtu anaweza miliki bwashee š¤£
We ni bikraKama una bikra bc upo sahihi 100%
Kabisa mpareBc hao wanawake waelewe hilo
Ndio, mboo yangu bado mpya ina maganda yake kabisa, namtunzia mke mtarajiwaWe ni bikra
Huwa wanatamani siku zilirudi nyuma akukubalie umuoe wakati ule hauna v8 na nyumba leo unavyoHela inaleta ugomvi sana hapa duniani
Naona umewashtua na siku hizi wahuni washawajua wanapenda hela,wanatengewa bajeti muhuni anajua kabisa ndani ya wiki kadhaa/mwezi akipiga show zake mbili tatu anaamsha.Imani yao haina shida shida hawajui juu ya kile wanachokiamini, maana imani zipo za aina mbili Imani sahihi na imani Potofu sasa wao wapo kwenye imani potofu
Kwanini ni potofu, ukija kwenye uhalisia vijana ambao wanatakiwa kuoa ni wale wenye kuanzia miaka 30 na kuendelea hata akianzia 25 sio mbaya
Sasa vijana wa lika hili kwa uhalisia wa maisha ya sasa asilimia 80% hawajajipata kimaisha yaani sio matajiri, lakini wao ndio wanatakiwa kuoa
Na wanawake hawataki kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri, hii inasababisha wanawake waanze kusema kuwa kuolewa ni bahati kumbe sio bahati ila wao "HAWATAFUTI WAME, WANATAFUTA WANAUME MATAJIRI" hivi ni vitu viwili tofauti ndio maana huwa nasema wanawake wapumbavu Wanaogopa kuolewa ila wanafurahi kuchezewa, wengi wanaona kuliko kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri ni bora kuendelea kuchezewa tu
Wanaume matajiri wengi tayari ni wame za watu sasa wanawake wanaposema wanataka kuolewa na wanaume matajiri manaake wanataka kuolewa na waume za watu
Kama mwanamke unayejitambua na unayetaka mabadiriko hakikisha hauweki kigezo hiki kama ni kigezo kikuu kwenye kuchagua nani wa kuolewa naye
Achana na misemo ya wanawake wapumbavu wanaosema eti bora kulia ukiwa dubai kuliko kulia ukiwa unakula matembele, Jiulize kwanini wanawake wa matajiri wakubwa wameachana na wanaume zao
Ukiwa haujapitia waliyopitia wanawake wenzio huwezi elewa mpaka siku yakikupata ndipo utaikumbuka ile kauli ya kusema "ni bora ugali na chumvi sehemu yenye amani kuliko wali nyama vitani"
Hao wanaokuchakaza sasa ni matajiri? kwanini usiende kuchakazwa na mume wako wa ndoa, Unataka kuolewa na mwanaume tajiri akati unalalwa na boda boda kwanini usiolewe na huyo boda boda mkaanze kujenga maisha?
Ni wakati wa kubadili mtazamo na kufanya maamuzi yenye msingi sahihi katika safari ya maisha ya ndoa.
Mnaishia kuzalishwa na kutoolewa sababu ya kuiga uamuzi wa wapumbavu wachache wanaowaharibu akili
Ukinichukia nitumie vocha ili niandile ujumbe wa kukusifia kwenye ujinga wako, ila mimi siwezi kutumia bando langu kuandika ujumbe unaosifia ujinga inshort i dont want peace āļø š š
Kikubwa wanaume tujitahidi kama ulikataliwa basi uvitafute uwe navyo siku ukikutana na ex wako bila hivyo tutaendelea kukimbia njia na kujificha kwenye migongo ya marafikiHuwa wanatamani siku zilirudi nyuma akukubalie umuoe wakati ule hauna v8 na nyumba leo unavyo
Kama Baba Ako Sio Tajiri Unatuhakikishia Kwamba Mama Hana Akili Kama Wewe Binti YakeMe sitaki masikini š¹š¹
I'll marry for money pleaseš
My mom's taste can never be my taste please,š¹š¹she choose a poor guy so neither meKama Baba Ako Sio Tajiri Unatuhakikishia Kwamba Mama Hana Akili Kama Wewe Binti Yake
ššalichagua masikini ila Mimi Nina taste ya kitajiri okayKama Baba Ako Sio Tajiri Unatuhakikishia Kwamba Mama Hana Akili Kama Wewe Binti Yake
ššKikubwa wanaume tujitahidi kama ulikataliwa basi uvitafute uwe navyo siku ukikutana na ex wako bila hivyo tutaendelea kukimbia njia na kujificha kwenye migongo ya marafiki
Kama Alikuzaa Bila Ya wewe Kuwa Na k Sawa Ila Kama Una K Kama Yeye Wote Ndo Wale WaleMy mom's taste can never be my taste please,š¹š¹she choose a poor guy so neither me
Ni hivyo kaka maana naona mleta mada kasahau kuna kukosa ambapo ndiyo asilimia nyingi kiasi kuwa uwa tunakimbia kujificha ex asikuone tena ndiyo ukute kaolewa na limwamba lina hela ,limejaza mwili na kitambi uwa ni mwendo wa kutimua vumbi tu .šš
We SI mama yako alichagua masikini pia pia we chagua maskini mwenzakoKama Alikuzaa Bila Ya wewe Kuwa Na k Sawa Ila Kama Una K Kama Yeye Wote Ndo Wale Wale
Kaka nakusimamia ukomedi hakika tutapiga pesa šNi hivyo kaka maana naona mleta mada kasahau kuna kukosa ambapo ndiyo asilimia nyingi kiasi kuwa uwa tunakimbia kujificha ex asikuone tena ndiyo ukute kaolewa na limwamba lina hela ,limejaza mwili na kitambi uwa ni mwendo wa kutimua vumbi tu .
Alafu tunakuja kujifariji kaolewa na lizee lakiniš¤£š¤£
Kaka kama kuna mpunga zaidi kuliko huku tunakovizia Trump ahakikishe jambo tuibe tuArv ili tutusue niko tayari bro ,nipe platform tuKaka nakusimamia ukomedi hakika tutapiga pesa š
Ni haki yao ya kikatiba na kiutu kuamini wanachotaka kuamini. Hata imani potofu.Imani yao haina shida shida hawajui juu ya kile wanachokiamini, maana imani zipo za aina mbili Imani sahihi na imani Potofu sasa wao wapo kwenye imani potofu
Kwanini ni potofu, ukija kwenye uhalisia vijana ambao wanatakiwa kuoa ni wale wenye kuanzia miaka 30 na kuendelea hata akianzia 25 sio mbaya
Sasa vijana wa lika hili kwa uhalisia wa maisha ya sasa asilimia 80% hawajajipata kimaisha yaani sio matajiri, lakini wao ndio wanatakiwa kuoa
Na wanawake hawataki kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri, hii inasababisha wanawake waanze kusema kuwa kuolewa ni bahati kumbe sio bahati ila wao "HAWATAFUTI WAME, WANATAFUTA WANAUME MATAJIRI" hivi ni vitu viwili tofauti ndio maana huwa nasema wanawake wapumbavu Wanaogopa kuolewa ila wanafurahi kuchezewa, wengi wanaona kuliko kuolewa na mwanaume ambaye sio tajiri ni bora kuendelea kuchezewa tu
Wanaume matajiri wengi tayari ni wame za watu sasa wanawake wanaposema wanataka kuolewa na wanaume matajiri manaake wanataka kuolewa na waume za watu
Kama mwanamke unayejitambua na unayetaka mabadiriko hakikisha hauweki kigezo hiki kama ni kigezo kikuu kwenye kuchagua nani wa kuolewa naye
Achana na misemo ya wanawake wapumbavu wanaosema eti bora kulia ukiwa dubai kuliko kulia ukiwa unakula matembele, Jiulize kwanini wanawake wa matajiri wakubwa wameachana na wanaume zao
Ukiwa haujapitia waliyopitia wanawake wenzio huwezi elewa mpaka siku yakikupata ndipo utaikumbuka ile kauli ya kusema "ni bora ugali na chumvi sehemu yenye amani kuliko wali nyama vitani"
Hao wanaokuchakaza sasa ni matajiri? kwanini usiende kuchakazwa na mume wako wa ndoa, Unataka kuolewa na mwanaume tajiri akati unalalwa na boda boda kwanini usiolewe na huyo boda boda mkaanze kujenga maisha?
Ni wakati wa kubadili mtazamo na kufanya maamuzi yenye msingi sahihi katika safari ya maisha ya ndoa.
Mnaishia kuzalishwa na kutoolewa sababu ya kuiga uamuzi wa wapumbavu wachache wanaowaharibu akili
Ukinichukia nitumie vocha ili niandile ujumbe wa kukusifia kwenye ujinga wako, ila mimi siwezi kutumia bando langu kuandika ujumbe unaosifia ujinga inshort i dont want peace āļø š š
Tunahonga kitu gani wakati ni maskini#Kataa Ndoa
"Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini"
Robert Herieli Mtibeli