Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

Mimi nawaunga mkono kwani umaskini sio kitu kizuri cha kujivunia na kukichagua[emoji848]
kuzariwa masikini sio tatizo wala kilema
una miaka 25 au 30 unakataje tamaa

wewe bint una miaka 20-25 unamkataaje mpambanaji anayepambana haswa yupo katika 25 - 30

maisha yanabadilika jiulize wewe miaka 5 nyuma ulikuwa wapi kiuchumi na kielimu sembuse miaka 5 mbele unajua mtapiga hatua kiasi gani

hakuna shaka hili lipo wazi MAFANIKIO YA MWANAUME yapo katika baraka za MWANAMKE SAHIHI atayepambana bega kwa bega nae

huwezi kupata mwanaume tajiri ukiwa una akili mgando kuamini utatoka ukipata mwanaume tajiri
na mwanaume tajiri hawezi kuoa mwanamke mpumbavu asiyekuwa na uwezo wa kujitafuta
mwanaume tajiri ataishi KUKUFILA kisha akupe laki 2 au akunununulie IPHONE 16 case closed

uliza burnaboy alichomfanyia demu mmoja nimemsahau jina huko NIGERIA ila pigo zake kam wema aliahidiwa akitoa PAPUCHI atanunuliwa Lamborghini alivyoliwa tu akapigwa chini Anaishia kulalamika mitandaoni
 
Ushawahi kuona tajiri anaoa bikra

Yaani matajiri wengi sana wanaoa wanawake hao ambao ninyi mnawaponda na baadae mnakuwa vibenteni vyao 🤣🤣
Wapi hao tunaowaponda, kwahy ambao hatuwapondi wanakuwa hawana bikra tangu wamezaliwa?
 
Wapi hao tunaowaponda, kwahy ambao hatuwapondi wanakuwa hawana bikra tangu wamezaliwa?
Mkuu wewe si umeona wanawake hao ambao hamuwataki hawana bikra wanaolewa na watu wenye hela.. baadae wanatafuta nyie maskini wawahonge muwakune vizuri

Matajiri hayo mambo ya bikira kwao sio kipaumbele kama ilivyo kwa vijana masikini.. wana stress za maisha hawana hela wanaanza kuweka masharti ya bikira.. maana bikira hana gharama chips zege tu ameridhika 🤣🤣
 
Mkuu wewe si umeona wanawake hao ambao hamuwataki hawana bikra wanaolewa na watu wenye hela.. baadae wanatafuta nyie maskini wawahonge muwakune vizuri

Matajiri hayo mambo ya bikira kwao sio kipaumbele kama ilivyo kwa vijana masikini.. wana stress za maisha hawana hela wanaanza kuweka masharti ya bikira.. maana bikira hana gharama chips zege tu ameridhika 🤣🤣
Mwanaume awe tajiri au asiwe tajiri sifa ya kwanza wanacho angalia ni purity.

Mwanaume target yake ya kwanza ni bikra akikosa bikra basi apate mwanamke mwenye low body counts.

Sio hivyo hata kwa dada zetu wanaume tunachukia pindi dada zetu wakiwa hawaja tulia na sio hivyo hawa single mother watoto zao wa kiume huwa wanachukia na kumind pindi wakigundua, bi mkubwa wake anagawa hovyo.

Siku zote MWANAUME ANAJALI BIKRA/LOW BODY COUNTS/PURITY,kiasili ndio ipo hivyo, kufuli linalo funguliwa na funguo moja ni la maana sana kwa mwanaume kuliko kufuli linalo funguliwa na kila funguo.
 
Back
Top Bottom