Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Toto za pande hizo ni 🔥
Asikuambie mtu Mkuu, mpaka niliacha lindo nikaondoka na ile toto 🤣🤣🤣
Maana ilinielewe yenyewe Tall,Slim,Black na ilikuwa kwenye heat kama ng'ombe jike japo sikuchora na Wadwanzi waliniharibia maana niliacha lindo wacha nipigiwe masimu ya vitisho na fujo kama zoooteee 🤣🤣🤣
 
Asikuambie mtu Mkuu, mpaka niliacha lindo nikaondoka na ile toto 🤣🤣🤣
Maana ilinielewe yenyewe Tall,Slim,Black na ilikuwa kwenye heat kama ng'ombe jike japo sikuchora na Wadwanzi waliniharibia maana niliacha lindo wacha nipigiwe masimu ya vitisho na fujo kama zoooteee 🤣🤣🤣
Unge endelea tuu ungekuwa zako Ukraine sahv unatunishiana misuli na Putin 😄
 
An
Jiwe gizani kwa FaizaFoxy
Hayo kwetu ndiyo jadi yetu. Tumeachana na ujinga wa kudhalilishana huo. Wengine mpaka leo bado wanafanya

Wakuja nyie hamuwezi kuwaona wari wa kikwetu waliotoka kwenye kigori.

Thubutu umkute mtoto ziwa limelemaa kama tembere, hao mnaowashangalia ujinga mtupu, wakubwa kuliko mama zao.
 
Hawa waarabu na wazungu ndio walituletea maujinga ya kuvaa nguo otherwise timgekuwa tumeshaa.zoeana kama wanyama.walivyo uchi ila tunawaona wanapendeza. Kwanza nguo ni matokeo ya dhambi. Adam na eve kabla ya kutenda thambi walikuwa hawavai nguo na walip ndeza kama vitoto vya sungura
 
Hawa waarabu na wazungu ndio walituletea maujinga ya kuvaa nguo otherwise timgekuwa tumeshaa.zoeana kama wanyama.walivyo uchi ila tunawaona wanapendeza. Kwanza nguo ni matokeo ya dhambi. Adam na eve kabla ya kutenda thambi walikuwa hawavai nguo na walip ndeza kama vitoto vya sungura

Wazungu unawalaumu bure mkuu
 
Back
Top Bottom