Sera zetu za mambo ya nje hazifungamani na upande wowote.....
Wamejiita WANAZUONI...inawezekana wakawa ni WAHAFIDHINA WA SERA ZAO WANAZOJUA WENYEWE.....
Mwanazuoni mwelewa wa sera za nchi anawashambulia baadhi ya nchi wadau wa Tanzania na kutetea wadau wengine ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Marekani ..
Marekani...
China....
China.....
Tanzania si taifa la KIKOMUNISTI...
Tanzania si taifa la KIBEBERU....