Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mzewShida iko wapi .. wewe ndo hujui. Uliza ufundishwe.
Yuko nchi gani!?
Uraia wake!?
Anafanya Nini!?
Anaongea lugha gani?
Ni kweli Ni mkulima?
View attachment 3087363
Karibuni.
JF hakipoi kitu. Najua Kuna watu Wana taarifa sahihi.
UPDATED...
View: https://www.facebook.com/share/v/W42JjXMbpHmqekvi/?mibextid=oFDknk
shida uko emotional sana ndio maana kila anayekujibu unamjibu kwa jazba ,shida yako sizani hata anachofanya bint huyo kimekuvutia ,zaidi unachotaka comments ni comment za kingono huna issue ,na uzuri wote wamekupa za usooWewe ndio umeandika kimbea na chuki ndani yake,kwenye jamii chochote kizuri kinapaswa kujadiliwa ili kuwa inspire wengine wakifanye
Mkuu kama bado ni kijana achana na hiyo roho ya kichawi kabla hujakua mchawi kamilishida uko emotional sana ndio maana kila anayekujibu unamjibu kwa jazba ,shida yako sizani hata anachofanya bint huyo kimekuvutia ,zaidi unachotaka comments ni comment za kingono huna issue ,na uzuri wote wamekupa za usoo
Sasa uyu anaurembo Gani?Kama jamaa alivyomchana hapo juu, huyo binti sasa ndio habari ya mjini kwa Gen Z wetu. Wanashinda kutwa nzima mitandaoni wakibishana kuwa huyo ni wa nchi gani? Wengine Botswana wengine Tanzania.
Vijana wanataka wapigane kwa ajili ya kutaka kujua ni wa nchi gani. Kwa kuwa ni mrembo, hawaamini kama.anafanya Kilimo.
Wanaamini sisi wakulima ninwatu tunaokosa hata mafuta ya kupaka kama alivyopaka huyo binti ndio maana wanashindana.
Inasikitisha sana.
Yupo CambodiaYuko nchi gani!?
Wilaya gani!?
Anaongea lugha gani!?
ukijibiwa na ukipewa ukweli unatoka kwenye madaaa, sijawai kuwa na roho hiyo ,ila vijana wa ovyo mnavyokuja kiovyo lazima tuwatolee uvivuMkuu kama bado ni kijana achana na hiyo roho ya kichawi kabla hujakua mchawi kamili
Mbona kama Kuna biashara ya sili hapa inatangazwa?Bint ni mpambanaji hasa
Tupia picha yako basi mrembo tuone KOMWE hilo kama la BICHWA KOMWE-Sasa uyu anaurembo Gani?
nitake radhi mkuu,Tupia picha yako basi mrembo tuone KOMWE hilo kama la BICHWA KOMWE-
Acha mbwembwe, tupia komwe hilo we mrembo.nitake radhi mkuu,