Wanoishabikia CCM ni wale wanaolipwa na CCM, wasitutoe nje ya mstari wa kupigania haki, uhuru na amani ya Taifa letu.

Wanoishabikia CCM ni wale wanaolipwa na CCM, wasitutoe nje ya mstari wa kupigania haki, uhuru na amani ya Taifa letu.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Ukiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.

Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
 
Tanzania kama Somalia watu wanatembea na SILAHA ZA KIVITA
 
20240922_094712.jpg
 
Ukiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.

Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
SAY NO TO RAPE : Incidents of sexual violence, particularly rape and defilement against students, have been on the rise in various areas
 

Attachments

  • 20240922_105753.jpg
    20240922_105753.jpg
    96.6 KB · Views: 4
  • 20240922_105805.jpg
    20240922_105805.jpg
    134.3 KB · Views: 4
  • 20240922_105819.jpg
    20240922_105819.jpg
    91.6 KB · Views: 4
Ukiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.

Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
Kipi Bora kulipwa na CCM (Tanzania) au Mabeberu?
 
Ukiangalia wengi wa wale wanaoishabikia CCM ni wale wanaolipwa au kufaidika kibinafsi na uwepo wa CCM. Labda ni viongozi, au wazazi na ndugu zao ni viongozi au wanufaika wa CCM kwa namna moja au nyingine.

Ni wakati mzuri sasa wa kuondokana na CCM na mfumo waliokwisha kuujenga kwa miaka zaidi ya 60 na kuendelea nchini. Ni chama ambacho wenye maslahi yao binafsi ndio wanakitegemeza na ndio maana hofu kubwa na kutanda kwa polisi Dar ni kwasababu ya hofu ya Umma wa watanzania ambao wengi hawakipendi chama hiki.
Mkuu hata hao ulio wataja namo wamo wanao ichukia ccm
 
Back
Top Bottom